Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,588
- 13,076
Adui wa watanzania siyo chaema. Adui na chanzo cha umasikini wa watanzania ni ccm. Chama ambacho ukiwa mjinga unakuwa potential. Kama wewe ulivyo mjinga.Habari .
Wote tumeshuhudia CHADEMA ikipukutika kutoka kuwa na wabunge zaidi ya 100 mwaka 2015 hadi kubaki na mbunge mmoja wa kuchaguliwa mwaka 2020!!
Nyuma ya kupukutika huko kwa CHADEMA kuna watu wamefanya kazi kubwa ya kuwaonyesha watanzania maovu ya chama hicho hadi watanzania kufikia hatua ya kukikataa kabisa chama hicho.
Swala la kumfukuza Mbowe baada ya chama kumfia mkononi tuwaachie wana chadema wenyewe.
Lengo la uzi huu ni kuitana hapa na kupongezana huku tukigonga glass za x mass kwa mashujaa wote tuliohusika kuishambulia CHADEMA usiku na mchana bila kuchoka kwa miaka 5 mfululizo.
Karibuni sana.
Tupe faida na changamoto zilizotokana na ziara za Joyce wowo/bashite/ makonda.