Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Maisha ya mwanaume yanaazna pale anapooa so ww kama ni bachelor jua kabisa hauishi unaruka ruka tu.
.
pili watu wengi wanazani kuchelewa kuona kuna afazali laa sio kweli, siku zote mapito ya ndoa ni yale yale yaani mkiona mkiwa watu wazima kupitia kipindi kigumu ni vile vile hata mkiooana mkiwa watoto mtapitia tu lakni anaafadhali yule atakayelia ndoa ngumu akiwa na 25yrs kuliko yule atakayelia akiwa na 40yrs yaani umri wa baba kuitwa babu ww utakuwa unalia kwa machungu ya ndoa tena kwa kipindi icho utakuta umeoa kadem ka 24yrs so unalia kwa kadem ka 24 so sad.
.
mwisho tu kuoa kwa mwanaume aliyekamilika kupo tu na hakukwepeki kula wanawake kadri uwezavyo lakn jua kuna mda utaowa tuu
Acha kudanganya watu eti tunaruka ruka tu
 
Maisha ya mwanaume yanaazna pale anapooa so ww kama ni bachelor jua kabisa hauishi unaruka ruka tu.

Pili watu wengi wanazani kuchelewa kuona kuna afazali laa sio kweli, siku zote mapito ya ndoa ni yale yale yaani mkiona mkiwa watu wazima kupitia kipindi kigumu ni vile vile hata mkiooana mkiwa watoto mtapitia tu lakni anaafadhali yule atakayelia ndoa ngumu akiwa na 25yrs kuliko yule atakayelia akiwa na 40yrs yaani umri wa baba kuitwa babu ww utakuwa unalia kwa machungu ya ndoa tena kwa kipindi icho utakuta umeoa kadem ka 24yrs so unalia kwa kadem ka 24 so sad.

Mwisho tu kuoa kwa mwanaume aliyekamilika kupo tu na hakukwepeki kula wanawake kadri uwezavyo lakn jua kuna mda utaowa tuu
Hapa ni mwendo wa kula mbususu hamna kuoa hawa wanawake
 
Inategemea pia umemua nani?
Yoyote yule, wanawake wazuri kila siku unapotembea unakutana nao kwaiyo utajikuta unajiona kwanini nimewahi kuoa na unaweza kumpata dem wa nje mzuri kumzidi mkeo wakatofautia tabia ukajuta kwanini uliwahi kuoa mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtoto wa uncle wangu alilazimishaga kuoa mapema akiwa na 24 alishauriwa asubiri ye akakomaa 

Siku moja baada ya miez Kama 6 ya ndoa alinitamkia mwenyewe kuwa Kuishi na mwanamke ni kazi sana akiwa anakuja geto unamchakata Mara kakusaidia kukunja nguo kufuta vumbi utaona raha sana maana hapo unakua unauona upande mmoja tu wa uzuri wake ila ishi nae uone na upande wa mabaya au udhaifu wake uone jinsi utakavyo mchoka haraka.

Kuna muda kwenye ndoa Mapenzi yanaisha kabisa inabaki uvumilivu , hapa sasa Kama bado unaakili za kitoto na huna busara unaweza kujikuta umeshaachana na mwanamke. Kuliko kuoa mapema ni Bora usubiri ufike umri fulani ukomae kiakili na uwe na busara ya kuishi na mwanamke
Umri haukomazi akili mkuu ni uwezo tu wa kuchanganua mambo
 
Yoyote yule, wanawake wazuri kila siku unapotembea unakutana nao kwaiyo utajikuta unajiona kwanini nimewahi kuoa na unaweza kumpata dem wa nje mzuri kumzidi mkeo wakatofautia tabia ukajuta kwanini uliwahi kuoa mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huko nako ni PEPO la ngono na uhasherati yaan utakuwa hujui sasa ni nini kusudio la Mungu kukuleta hapa duniani na utashawishiwa na umalaya 😂😂 unatakiwa uridhike na ukipatacho
 
Back
Top Bottom