Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Hello wanaJF

Mimi ni miongonI mwa wanaume waliooa wakiwa na umri mdogo......

Nikiwa na miaka 22 nilianzisha uhusiano na mwanamke X tulipendana saaana, mkwe (mama) alipogundua nina mahusiano na mwanae akaanza nichukia na kunisemea maneno makali...

Kadiri siku zilivyoenda uhusiano ulizidi kunawiri, mpenzi wangu akaanza kulala kwangu siku mojamoja na hatimaye wiki.

Wajomba wa mwanamke wakanifata wakaniambia nimuoe ndugu yao na kama sipo tayari nimuache binti yao.....

Lakini mkwe alikuwa hanipendi kwa sababu ya umaskini, kiukwel sikuwa na kazi inayoeleweka zaidi tu ya kuishi kwa kubahatisha...

Mapenzi yana nguvu, nilikubali shauri la wajomba wa mke nikaamua nioe nikiwa na miaka 23 tu.

Kiukweli maisha yalikuwa magumu ila tulionekana na furaha sana haswa mke wangu kwani alizidi nawiri na kunenepa.

Nikaanza kujitolea kufundsha shule X nikawa napata kifuta jasho, punde serikali ya Magu ikatangaza ajira kwakuwa nilisoma mbali na mkoa wetu nikamshauri mke tuuze simu yake smartphone nipate nauli ya kufata cheti chuoni.

Zoezi likakamilika nikafuata cheti nikaapply lakini nikatemwa sijubahatika kuchaguliwa.

Punde mke akashika ujauzito, nilianza kupata mawazo kwano sikuwa na kazi ya uhakika niliwaza wapi nitapata pesa ya kuhudumia mtoto pindi atakapozaliwa au hata gharama za hospitali kwa lolote litakalotokea liwe dogo au kubwa...

Mungu mkubwa, nikabahatika kupata kazi English Medium ambapo nipo hadi sasa na umri wangu miaka 25 tu..

Kuna wakati najiuliza kwa nini nilioa mapema? Lakin pia nawaza je bila kumuoa huyu mwanamke hela ya kufata cheti chuoni ningeipata wap??? Kwani iko cheti ndio kimetusaidia nipate kazi hapa nilipo...

Nimeamini ndoa hufungwa mbinguni pia ukioa ridhiki huongezwa, maana maisha niliokua naishi wakati sijaoa yalikuwa magumu sana kuliko saizi.

Bado sijafika ila nilipotoka na nilipo tofauti ingawa TAMISEMI wamenitema tena kwenye mkeka wa wiki iliyopita.

Waliooa wengi wanakasumba ya kulazimisha watu waoe!!… sielewagi nn shida utafikiri kuna kitu wanaongezewa mtu ukioa…

Kuna jamaa kila tukiongea ndo mada zake we oa mbna hujaoa?? Sijui ukioa haka kaugonjwa ka akili kanakupata
 
Hello wanaJF

Mimi ni miongonI mwa wanaume waliooa wakiwa na umri mdogo......

Nikiwa na miaka 22 nilianzisha uhusiano na mwanamke X tulipendana saaana, mkwe (mama) alipogundua nina mahusiano na mwanae akaanza nichukia na kunisemea maneno makali...

Kadiri siku zilivyoenda uhusiano ulizidi kunawiri, mpenzi wangu akaanza kulala kwangu siku mojamoja na hatimaye wiki.

Wajomba wa mwanamke wakanifata wakaniambia nimuoe ndugu yao na kama sipo tayari nimuache binti yao.....

Lakini mkwe alikuwa hanipendi kwa sababu ya umaskini, kiukwel sikuwa na kazi inayoeleweka zaidi tu ya kuishi kwa kubahatisha...

Mapenzi yana nguvu, nilikubali shauri la wajomba wa mke nikaamua nioe nikiwa na miaka 23 tu.

Kiukweli maisha yalikuwa magumu ila tulionekana na furaha sana haswa mke wangu kwani alizidi nawiri na kunenepa.

Nikaanza kujitolea kufundsha shule X nikawa napata kifuta jasho, punde serikali ya Magu ikatangaza ajira kwakuwa nilisoma mbali na mkoa wetu nikamshauri mke tuuze simu yake smartphone nipate nauli ya kufata cheti chuoni.

Zoezi likakamilika nikafuata cheti nikaapply lakini nikatemwa sijubahatika kuchaguliwa.

Punde mke akashika ujauzito, nilianza kupata mawazo kwano sikuwa na kazi ya uhakika niliwaza wapi nitapata pesa ya kuhudumia mtoto pindi atakapozaliwa au hata gharama za hospitali kwa lolote litakalotokea liwe dogo au kubwa...

Mungu mkubwa, nikabahatika kupata kazi English Medium ambapo nipo hadi sasa na umri wangu miaka 25 tu..

Kuna wakati najiuliza kwa nini nilioa mapema? Lakin pia nawaza je bila kumuoa huyu mwanamke hela ya kufata cheti chuoni ningeipata wap??? Kwani iko cheti ndio kimetusaidia nipate kazi hapa nilipo...

Nimeamini ndoa hufungwa mbinguni pia ukioa ridhiki huongezwa, maana maisha niliokua naishi wakati sijaoa yalikuwa magumu sana kuliko saizi.

Bado sijafika ila nilipotoka na nilipo tofauti ingawa TAMISEMI wamenitema tena kwenye mkeka wa wiki iliyopita.
Hongera zenu, na kila la Kheri! Cha muhimu nibiuwa una ajira, hayo ya tamisemi si ajabu yakawavuruga Kwa kupangiwa sehemu zisizoeleweka, na malipo ya kubahatisha. Jiimarisheni kiuchumi kwa chochote mnachopata, fanya tuition kama muda unaruhusu n.k.
 
Naona ulioa mapema kwasababu ya ugeni wako penzini, ila kama ingetokea uachane na huyo mkeo kabla ya kuoana nae basi naamini ungeendelea kuwabadilisha tu.
Ukipendwa, na wewe upende, sio kucheza.
 
Kuna mtoto wa uncle wangu alilazimishaga kuoa mapema akiwa na 24 alishauriwa asubiri ye akakomaa 

Siku moja baada ya miez Kama 6 ya ndoa alinitamkia mwenyewe kuwa Kuishi na mwanamke ni kazi sana akiwa anakuja geto unamchakata Mara kakusaidia kukunja nguo kufuta vumbi utaona raha sana maana hapo unakua unauona upande mmoja tu wa uzuri wake ila ishi nae uone na upande wa mabaya au udhaifu wake uone jinsi utakavyo mchoka haraka.

Kuna muda kwenye ndoa Mapenzi yanaisha kabisa inabaki uvumilivu , hapa sasa Kama bado unaakili za kitoto na huna busara unaweza kujikuta umeshaachana na mwanamke. Kuliko kuoa mapema ni Bora usubiri ufike umri fulani ukomae kiakili na uwe na busara ya kuishi na mwanamke
 
Hello wanaJF

Mimi ni miongonI mwa wanaume waliooa wakiwa na umri mdogo......

Nikiwa na miaka 22 nilianzisha uhusiano na mwanamke X tulipendana saaana, mkwe (mama) alipogundua nina mahusiano na mwanae akaanza nichukia na kunisemea maneno makali...

Kadiri siku zilivyoenda uhusiano ulizidi kunawiri, mpenzi wangu akaanza kulala kwangu siku mojamoja na hatimaye wiki.

Wajomba wa mwanamke wakanifata wakaniambia nimuoe ndugu yao na kama sipo tayari nimuache binti yao.....

Lakini mkwe alikuwa hanipendi kwa sababu ya umaskini, kiukwel sikuwa na kazi inayoeleweka zaidi tu ya kuishi kwa kubahatisha...

Mapenzi yana nguvu, nilikubali shauri la wajomba wa mke nikaamua nioe nikiwa na miaka 23 tu.

Kiukweli maisha yalikuwa magumu ila tulionekana na furaha sana haswa mke wangu kwani alizidi nawiri na kunenepa.

Nikaanza kujitolea kufundsha shule X nikawa napata kifuta jasho, punde serikali ya Magu ikatangaza ajira kwakuwa nilisoma mbali na mkoa wetu nikamshauri mke tuuze simu yake smartphone nipate nauli ya kufata cheti chuoni.

Zoezi likakamilika nikafuata cheti nikaapply lakini nikatemwa sijubahatika kuchaguliwa.

Punde mke akashika ujauzito, nilianza kupata mawazo kwano sikuwa na kazi ya uhakika niliwaza wapi nitapata pesa ya kuhudumia mtoto pindi atakapozaliwa au hata gharama za hospitali kwa lolote litakalotokea liwe dogo au kubwa...

Mungu mkubwa, nikabahatika kupata kazi English Medium ambapo nipo hadi sasa na umri wangu miaka 25 tu..

Kuna wakati najiuliza kwa nini nilioa mapema? Lakin pia nawaza je bila kumuoa huyu mwanamke hela ya kufata cheti chuoni ningeipata wap??? Kwani iko cheti ndio kimetusaidia nipate kazi hapa nilipo...

Nimeamini ndoa hufungwa mbinguni pia ukioa ridhiki huongezwa, maana maisha niliokua naishi wakati sijaoa yalikuwa magumu sana kuliko saizi.

Bado sijafika ila nilipotoka na nilipo tofauti ingawa TAMISEMI wamenitema tena kwenye mkeka wa wiki iliyopita.
Nilioa nikiwa na 24 hivi, sijajuta hata siku moja. Kwanza nilikuwa tayari nina ajira ya uhakika. Na mke wangu alikuwa ni mwajiriwa pia halafu aged kama 29 hivi.

Full utulivu na jimama langu, linafahamu maisha ni nini. Hakuna shida.
 
Hello wanaJF

Mimi ni miongonI mwa wanaume waliooa wakiwa na umri mdogo......

Nikiwa na miaka 22 nilianzisha uhusiano na mwanamke X tulipendana saaana, mkwe (mama) alipogundua nina mahusiano na mwanae akaanza nichukia na kunisemea maneno makali...

Kadiri siku zilivyoenda uhusiano ulizidi kunawiri, mpenzi wangu akaanza kulala kwangu siku mojamoja na hatimaye wiki.

Wajomba wa mwanamke wakanifata wakaniambia nimuoe ndugu yao na kama sipo tayari nimuache binti yao.....

Lakini mkwe alikuwa hanipendi kwa sababu ya umaskini, kiukwel sikuwa na kazi inayoeleweka zaidi tu ya kuishi kwa kubahatisha...

Mapenzi yana nguvu, nilikubali shauri la wajomba wa mke nikaamua nioe nikiwa na miaka 23 tu.

Kiukweli maisha yalikuwa magumu ila tulionekana na furaha sana haswa mke wangu kwani alizidi nawiri na kunenepa.

Nikaanza kujitolea kufundsha shule X nikawa napata kifuta jasho, punde serikali ya Magu ikatangaza ajira kwakuwa nilisoma mbali na mkoa wetu nikamshauri mke tuuze simu yake smartphone nipate nauli ya kufata cheti chuoni.

Zoezi likakamilika nikafuata cheti nikaapply lakini nikatemwa sijubahatika kuchaguliwa.

Punde mke akashika ujauzito, nilianza kupata mawazo kwano sikuwa na kazi ya uhakika niliwaza wapi nitapata pesa ya kuhudumia mtoto pindi atakapozaliwa au hata gharama za hospitali kwa lolote litakalotokea liwe dogo au kubwa...

Mungu mkubwa, nikabahatika kupata kazi English Medium ambapo nipo hadi sasa na umri wangu miaka 25 tu..

Kuna wakati najiuliza kwanini nilioa mapema? Lakini pia nawaza je bila kumuoa huyu mwanamke hela ya kufata cheti chuoni ningeipata wap? Kwani iko cheti ndio kimetusaidia nipate kazi hapa nilipo.

Nimeamini ndoa hufungwa mbinguni pia ukioa ridhiki huongezwa, maana maisha niliokuwa naishi wakati sijaoa yalikuwa magumu sana kuliko sasa hivi.

Bado sijafika ila nilipotoka na nilipo tofauti ingawa TAMISEMI wamenitema tena kwenye mkeka wa wiki iliyopita.
Huu uzi uitwe "NYEGE INFLUENTIALS"!😂😂😂
 
Maisha ya mwanaume yanaazna pale anapooa so ww kama ni bachelor jua kabisa hauishi unaruka ruka tu.

Pili watu wengi wanazani kuchelewa kuona kuna afazali laa sio kweli, siku zote mapito ya ndoa ni yale yale yaani mkiona mkiwa watu wazima kupitia kipindi kigumu ni vile vile hata mkiooana mkiwa watoto mtapitia tu lakni anaafadhali yule atakayelia ndoa ngumu akiwa na 25yrs kuliko yule atakayelia akiwa na 40yrs yaani umri wa baba kuitwa babu ww utakuwa unalia kwa machungu ya ndoa tena kwa kipindi icho utakuta umeoa kadem ka 24yrs so unalia kwa kadem ka 24 so sad.

Mwisho tu kuoa kwa mwanaume aliyekamilika kupo tu na hakukwepeki kula wanawake kadri uwezavyo lakn jua kuna mda utaowa tuu
 
Shukran mkuu,, cha ajabu sas tangu nioe nikitongoza dem anakataa maana mwanamk ananyonyesh kwasas
Kwa hiyo unasubiri hadi mtoto aache kunyonya ndio uanze kula?
 
Back
Top Bottom