Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Tulioharakia kuoa tukutane hapa

Mdogo angu shukuru Mungu kwa hatua uliyofikia... Binafsi story yako inafanana ukitoa swala la kuchukiwa na ma mkwe ila leo baada ya miaka 8 ya ndoa najuta kwann nilimuoa, maisha yangu yamerudi nyuma style ya 5g.
somo: mwanamke asikufanye u relax maana kuna siku na saa utashangaa maajabu yake, kikumbwa weka mguu pande mguu sawa usijepotea kwenye ramani kikibuma
Hakika, changamoto kubwa iliyopo kwa mkwe akihitaj msaada fulani nikishndwa kutekelza kwa wakati anasema maneno mabovu
 
Na wewe unatongoza ili iweje bwana...ndio mwanzo wa kuleta minuksi ndani wakati ndoa yenu bado ni pure na Mungu anaibariki kama wewe mwenyewe ulivyokiri hapa.
Mke wangu ananyonyesha, mtoto wetu ni mdogo sana....
 
sku hizi hadi kwenye comments mnatuimbisha 🤣🤣🤣🤣
Kweli mambo yamebadilika
Hatuchagui uwanja. Halafu sijawahi ingia PM kutongoza, huwa naingia kujibu mtu au kutoa msaada kama kauliza sensitive issue naijua
 
Back
Top Bottom