G bznes
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 1,397
- 2,796
Mama mtoto wako ndo Demu?daaaah kuna siku nilikua natoka kimara narud home ubungo kuna demu alikua mbele yangu....akawa anachange wasap kutoka airtel kwenda tigo.....wakati anabadili nilikua nyuma ake nikaiba namba..
.
lastly ndio mama wa mtoto wangu mpaka leo