Duh umeniwah hata mimi nimempenda
Last edited by a moderator:
Me mwenyewe cjui km nmeachwa,2mepeana dudu km mara 6 then anaxema 2end relation bt kanavyo npigia cm kla dk' kunakuachw kwel hapa
Hakukupenda mkuu
mi niliachwa kisa sikumpeleka lady b wangu beach siku ya valentine day.
Kuachwa kusikienitu jamani tena usiombe yakukute! Mie niliachwa na dada mmoja na sijui kama nitamsahau,alinipa taarifa ya kuniacha kabla ya wiki kua wiki ijayo nitakwenda daresalam kukusahau na nikirudi nikuchukua nguo zangu tu!
Na weza kusema ile konyagi bapa ilisaidia nilinunua tatu kubwa zile nalala nayo huku nalia mwanamke asivyo na huruma wiki nzima hakuna kuongea,nakumbuka siku alininga'ta kisa nilmshika tu!
Nistori ndefu lakini wiki ile alienda huko daa na mwezi mmoja baadae alikuja kuchukua kila kilicho chake mpaka picha alibeba. Sitaisahau siku hio lakina Mungu alivyomkubwa maumivu hayapo tena na yeye nampenda pia japo miaka miwili imepita niko hile alivyoniacha sijafa moyo wa kupenda.
Usiri usio na msingi..,Ajue yangu yake hataki, kumuuliza kapanic, katoa buti yeye mwenyewe.. Maisha yanaenda.. Mungu ni mwema.. Almost a year now. Thanks God am moving on..
M nakumbuka dem wng alinambia tupeane mda kidogo kama wiki au mwezi alaf tutarudiana. Nilikua nampenda sana nikawa kama mjinga nahic hicho kitu hakukipenda sana mana nilikua hata simsumbua yan kama niko chini yake nikijua ndio atanipenda sana. Alinipenda lakini alifika mda akaomba labda tupumzike ili tukirudi round 2 mambo yawe supa. Kumbe ndo ilikua bye bye kimoja. Mpaka leo kichwa changu hakiko vzr kwenge mapenz naona kama wote wale wale.
hahaha pole,sema hata mimi jamani mwanaume wa ndio mzee hapana kwakweli anaboa,I use to have a boy just like u na nlikua nampenda ila cku znavozid kwenda mapenz yalipungua had nkaamua kila mtu afanye yake maana relationship hata hainog ye kila kitu ndio mzee neno langu ndo sheria khaaa!
hahaha pole,sema hata mimi jamani mwanaume wa ndio mzee hapana kwakweli anaboa,I use to have a boy just like u na nlikua nampenda ila cku znavozid kwenda mapenz yalipungua had nkaamua kila mtu afanye yake maana relationship hata hainog ye kila kitu ndio mzee neno langu ndo sheria khaaa!
Sema alinifundisha kitu kikubwa sna katika mapenz ambacho mpaka leo najivunia maana baada ya hapo nilichange coz nilijua wap nilikua nakosea. Yan ilikua hata kosa afanye yy msamaa naomba mm dah noma sna. She teach m 2be strong
hongera we learn through our mistakes ndo maisha yalivyo..ila usilipize kwa wapya hahahah!