Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,280
- 4,730
Salama, hii thread ni special kwa sisi tulioacha masomo ya chuoni na kufanya mambo mengne so tu naweza kujadili mbinu, athari, faida na changamoto tuliokumbana nazo kipindi Hicho
Binafsi niliacha chuo mwaka wa kwanza na kufanya Biashara pa1 na vibarua vya hapa na pale,, mnaweza kuendelea
Binafsi niliacha chuo mwaka wa kwanza na kufanya Biashara pa1 na vibarua vya hapa na pale,, mnaweza kuendelea