Tulio single tujuane

Kukosa soko hiyo vipi ?
Mwanamke pia kuwa single ni maamuzi mtu anatulia zake hataki stress maana ashaumizwa sasa afanyaje tena

utachezewa hadi lini ? .... ukitoka kwa huyu uende kwa yule ...
Ila na mwanamke ukiona unatongozwa sana ujue your a cheap merchandize
Mwanaume ukikubaliwa sana unanyota ya Platnumz
 
Back
Top Bottom