Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,701
- 68,720
- Thread starter
- #101
Hahahaha ikawaje sasaMimi babu langu alikuwa na nyumba zake mtoni mtongani sasa likizo huwa namtmbeleaga
Kuna siku nilipomtembelea nilikuta anaugomvi na mpangaji wake nilipofika tu akanambia nakupa mtihani ukiweza utakaa hapa likizo yote ukishindwa kweeenuuu, nikamwambia poa aknipa peni na karatasi akanambia anataka nataka umuandikie barua joseph ahame hivyo andika kama ninavyoongea usipunguze hata herufi moja akaanza na fyonyoo akambia andika ,akaja nyoooo' akaendelea JOSE JOSE SIKUTAKI KWANGU KAMA UMESIKIA HIKI KITUO CHA KULEA MASIKINI SIO KWANGU ,MTOTO HUNA HAYA KUTWA KUMUANGALIA MKE WANGU fyonyo la pili,,,,akaendelea HUKUNISAIDIA MCHANGA WALA KOKOTO (tusi) hukuleta mchanga wala nondo (tusi) kazi kuning'iniza...(tusi) akanigeukia na mimi ole wako lipungue neno nami nikala tusi laini akaongeaaaaa jioni nikawakuta baa wanakunywa pamoja eti mimi ndo mbaya nimetunga maneno nalazimisha urithi nilikuwa 4m4...dah yule mzee wa bandari alikuwa burudani saaana na alikuwa anapenda mnoooooo mis him much