kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,822
- 20,824
Yes iyo ni nje ya matumizi japo kwa kujibana sanaOkay return ni 300k per months ni nje ya expenses au. Me ninachojua hawawez linganana ina dependent na trend ya biashara pia, ila biashara inaweza pay mpaka mara 20-50 au zaid kwa mwaka, so Advantage ipo kwny biznes ukicheza vizuri lakni.
Mkuu kwanza hongera kwa ku make it up lkn naomba uniambie uwongo wangu ni upiKabla sijachangia kwanza niseme mleta mada we ni muongo.
Baada ya hapo ndo nichangie sasa.
Mimi nimekosa ajira zaidi ya miaka 10 tangu nihitimu. Ninafanya biashara ndogo ndogo, nimeoa nina familia, nalipa kodi na ada. Nyumba yangu inasubiri kupauliwa. My class mates walioajiriwa wananipiga vibomu vya hapa na pale. Ila mpaka sasa sijaelewa kipi bora kujiajiri au kuajiriwa maana bado naaply
Niliacha kazi willingly kabisa.Tupe uzoefu wa ajira kwa upande wako mkuu tujifunze
Business gani mkuuKabla sijachangia kwanza niseme mleta mada we ni muongo.
Baada ya hapo ndo nichangie sasa.
Mimi nimekosa ajira zaidi ya miaka 10 tangu nihitimu. Ninafanya biashara ndogo ndogo, nimeoa nina familia, nalipa kodi na ada. Nyumba yangu inasubiri kupauliwa. My class mates walioajiriwa wananipiga vibomu vya hapa na pale. Ila mpaka sasa sijaelewa kipi bora kujiajiri au kuajiriwa maana bado naaply
Kaka una madini sana ya maana sana sanaaAjira kaka ni kila kitu bro ,ona sasa niko ndani nimelala na nimempigia boss nimemwambia hali yangu si nzuri natapika najua badaye watakuja na majuisi na mazaga kibao ila ukweli siumwi nililewa sana jana hivyo nahisi miguu inatetemeka tu .
Hapo bado tarehe ishirini na nne kahela kangu kataingia kama kawaida nitaendelea kulewa pale nilipoishia mwezi jana ,sina stress wala nini yaani .
Ila wewe kama nakuona utakuwa umedamka toka saa moja kamili uko bize na mbilinge mbilinge za biashara mara ujichekeshe kwa mteja ilihali nafsi inasema huyu sio mzuri yaani tabu tupu kaka .
Mimi mwenzio nakopa kahela najenga kakibanda kangu ,nabaki na robo tatu yangu ya kamshahara kangu nakula taratibu huku nasubiri siku za makato yao ziishe nikope tena nikalipe mahari ili nimuoe my wangu kabisa ,yaani raha wewe basi tu .
Hayo ni maneno ya muajiriwa mmoja katika kada fulani alikuwa akinitambia pasina kujua na mimi ni mtumishi joto ya jiwe ya kusubiri mshahara na wenyewe hautoshi nayajua nje ndani .
Biashara ni bora ila kikibwa uipende na uwe na consistency basi the rest is history
Hongera mkuu nimeipenda idea yako inahamasisha je kuna utofauti wa kipato wakati umeajiriwa na sasa, vipi hali ya kimaisha piaNiliacha kazi willingly kabisa.
Niliona nahitaji kujipambania kwa kufanya biashara na vijana wadogo.
Nachokifanya naajiri vijana wanne, nawalipa kwasiku.
Nawapa mzigo wa bidhaa za dukani wakauze mtaani kama wamachinga, jioni wananikabidhi hesabu.
Kesho tena nawapa mzigo mwingine...nk.
Wanachofanya ni kwenda location tofauti kuanzia jmosi mpk ijumaa. Mfno
J3-anasambaza maduka ya mtaani kijichi
J4-Mgeni nani
J5-Mbagala kibonde maji
Alh-Misheni
Ijumaa-Chekechea
Jmos-Mb Rangi 3
Uhuru ni wake yani
Kuna mdau kwa mwezi anapata m4mwaka wa Saba hana kiwanja! Inategemea Akili Yako na malengo Yako!Wakuu hebu tujaribu kulinganisha kati ya biashara na ajira kwa upekee na kwa factor zinazofanana au watu wenye madaraja sawa ya vipato kwa upande wa ajira na mtaji au mapato tuone nani anajilipa/analipwa shingapi na amefanya nini hadi sasa
Nikianza mimi, ki status ni mfanyabiashara mdogo mtaji around 500k-1m return around 300k-500k per month hadi sasa sina nilichofanya zaidi ya kuanza msingi wa nyumba kwa miaka sita toka nianze biashara
Karibuni tushee uzoefu
Bado mshahara ninao mfukoni kakaKaka una madini sana ya maana sana sanaa
Ndio maana nimemwambia inategemea na Akili Yako na malengo Yako!,Humu inabidi ujue wewe ulivyo.Kwenye haya maisha ni Wewe na Akili Yako!Huenda kafanya kitu kingine cha maendeleo ushuhuda mzuri ni ule unaokuhusu wewe
Upo sahihi maana lazima muwe na malengo sawa ili tulinganishe but kwa niaminivyo mimi kila kijana ana malengo ya kukua kiuchumi tunatofautiana harakati tu japo hawakosekani ambao ni kula kulalaNdio maana nimemwambia inategemea na Akili Yako na malengo Yako!,Humu inabidi ujue wewe ulivyo.Kwenye haya maisha ni Wewe na Akili Yako!
Asantee, inategemea mkuu kwenye kupigaHongera mkuu nimeipenda idea yako inahamasisha je kuna utofauti wa kipato wakati umeajiriwa na sasa, vipi hali ya kimaisha pia