Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,303
- 111,454
- Thread starter
- #21
Unawadhalilisha walokole huyo dada alikuwa mlokole feki wewe ulitoa hela ya bandia nawe ukapewa dhahabu feki hivyo ngoma droo dah kwanini kile kifusi hakikuwafunika? Mngeanza kupewa malipo yenu hapahapa. Umepewa last chance ukiichezea...........!!!!!
mkuu, ndiomana nimekuletea ushuhuda huu baada ya kumkumbuka muumba wangu ktk siku za ujana wangu