Tulijadili hili ....


tutajulishana vituo kwa pm! Thanx a lot my friend.
 
Siungi mkono wazo lako, wengine wetu tunaishi kama extended family, na wanafamilia wengi wapo ulipozaliwa so cyo mbaya once in a year ukaenda kuwaona maana ukitaka wao waje kukusalimia kwa jinsi walivyo wengi hata fastjet haitawatosha
 

Hahaha..hakunaga aisee!!!! yani ndugu wa mumeo wakimkuta wanaruhusiwa kumpiga,lol!
 
Hujakatazwa kwenda home; swali langu ni je lazima iwe siku ya sikukuu????

Siku ya sikukuu hasa krismasi ndo mwisho wa mwaka mkuu na ofc nyingi za binafsi zinafungwa so inakuwa ni muda mzuri kuchoropoka kwenda kuwaona ndugu na jamaa kwa wingi wao
 
sisi kwa kumaliza ubishi tumepangiana zamu.
mwaka huu wote tunaenda kwa wazazi (mama ndo kabaki), mwakani kwangu first born, mwaka unaofuata kwa mdogo wangu 2nd born, mwaka mwingine kila mtu kwake, kama mnaenda ukweni poa.
Ila mimi nina bahati wakwe zangu ni waislam, huwa tunaenda kwao sikukuu za Idd, kwa hiyo mwaka wa kukaa kwenu huwa tunatalii na watoto wetu.
 
nadhani point ya jamaa umeiona tu sema unakomaa sababu ya ubishi haya nenda huko halafu urudi ukute umeibiwa kila kitu sijui utaomba au kusubiri mwisho wa mwaka uombe uchangiwe....hivyo ulivyo poteza...
 
nadhani point ya jamaa umeiona tu sema unakomaa sababu ya ubishi haya nenda huko halafu urudi ukute umeibiwa kila kitu sijui utaomba au kusubiri mwisho wa mwaka uombe uchangiwe....hivyo ulivyo poteza...

Hasara Roho , Vitu , Pesa ni makaratasi tutapata vingine, la muhimu ni roho na afya njema ndicho kitu cha muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…