Tuliaminishwa wakiguswa tu nchi itatikisika, mbona wameguswa na nchi imetulia?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,695
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya Nssf tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
rizmoko ameguswa? yupo kisutu kama manji na wengine? kwanini hajatajwa wala kukamatwa? walioguswa ni chambo tu, kuna watu huko ukiwagusa nchi itatikisika kweli. kuna wauza pembe za ndovu walishatajwa sana wako hukohuko, wapo mafisadi rundo lakini hawaguswi. hii ndio africa.
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya Nssf tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Wameguswa wakina nani na wangapi!!? Manji, Wema, Ray C ..................!!?

Inawezekana ni kweli ndiyo maana hawaguswi!! Waguswe akina Manji watano tuone habari yake ....... wanauma na kupulizia!!
 
Wewe umeona walioguswa ni mafisadi.Mapapa wapo tuli hawajaguswa na hawataguswa kwani ndio waliokuwa wafadhili wakubwa wa chama chetu.Hiyo gereza au sijui mahakama ya mafisadi umeona ina kesi hata mmoja! Wale mafisadi wa EPA mfano au Escraw sijuhi umeona wamekamatwa!Magufuli namkubali ila kwa hilo kaniangusha mbaya.Yeye anashughulika na waponzani na wafadhili wa Chadema.Awaibue wafadhili wa chama chetu ambao ndio ----
 
Sniper alikua na target yake ameshoot wengine wameachwa sheria zetu haziwezi kumfunga mtumiaji wa madawa coz evidence haiwezi kupatikana
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya Nssf tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Kwani jinai ina ukomo?Ifumuliwe escrow ndio tujue nia ya serikali!
Yaani ni kiasi cha kwenda stanbic bank kuangalia kina nani walivuta mpunga,wala haihitaji nguvu sana!
 
kama haijatikisika imekuwaje awamu ya tatu ikaenda kimya kimya

AKILI KUMKICHWA
Ni strategy tu kutekeleza majukumu.Hujuilizi why Lowasa was named fisadi na Chadema then chadema haohao wakampokea na kumfanya mgombea na wakamsafisha.It is all about strategy mkubwa mpe shikamoo yake
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Wewe kweli pofu. Yaani hali ilivyo sasa unasema ipo shwari. Au mamako ni kimada wa aliyejuu?
 
Back
Top Bottom