figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Habari wakuu,
Rais Magufuli amewaalika Wafanyabiashara kutoka kila Wilaya Ikulu. Rais anataka Wafanya biashara Watano kutoka kila Wilaya Tanzania, amesema haijalishi hata kama ni Mfanyabiashara Mwanasiasa wala mtendaji wa Serikali
Wafanyabiashara wametakiwa kujigharamia nauli ya kufika Dar Es Salaam
Mkutano utafanyika tarehe 07 Juni 2019.
MY TAKE:
Hawa matajiri wasikose, kwani ndio wameshikilia Uchumi wa Tanzania. Ndo wanajua mbinu ya kufanya biashara Tanzania. Bila hawa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
1. Peter Zakaria - Msoma
2. Mohammed Gulam Dewji - Ilala
3. James Rugemalira - Bukoba
4. Yusuf Manji - Kinondoni
5. Akrim Aziz na kaka yake Rostam Aziz - Kinondoni
6. Gulamali - Singida
7. Ally Mufuruki- Ubungo
8. Edward Lowassa - Monduli na rafikie Kalamagi - Bukoba vijijini
Kuna Kipindi raia Mstaafu Kikwete alisema, hii nchi kuna watu wakiguswa nchi inatikisika.
Rais Magufuli amewaalika Wafanyabiashara kutoka kila Wilaya Ikulu. Rais anataka Wafanya biashara Watano kutoka kila Wilaya Tanzania, amesema haijalishi hata kama ni Mfanyabiashara Mwanasiasa wala mtendaji wa Serikali
Wafanyabiashara wametakiwa kujigharamia nauli ya kufika Dar Es Salaam
Mkutano utafanyika tarehe 07 Juni 2019.
MY TAKE:
Hawa matajiri wasikose, kwani ndio wameshikilia Uchumi wa Tanzania. Ndo wanajua mbinu ya kufanya biashara Tanzania. Bila hawa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
1. Peter Zakaria - Msoma
2. Mohammed Gulam Dewji - Ilala
3. James Rugemalira - Bukoba
4. Yusuf Manji - Kinondoni
5. Akrim Aziz na kaka yake Rostam Aziz - Kinondoni
6. Gulamali - Singida
7. Ally Mufuruki- Ubungo
8. Edward Lowassa - Monduli na rafikie Kalamagi - Bukoba vijijini
Kuna Kipindi raia Mstaafu Kikwete alisema, hii nchi kuna watu wakiguswa nchi inatikisika.
Tuliaminishwa wakiguswa tu nchi itatikisika, mbona wameguswa na nchi imetulia?
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia. Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya...
www.jamiiforums.com
Mambo ni mazito sana kwa Dkt John Magufuli...
Namuamini sana Rais Magufuli na dhamira yake kwa nchi yetu. Naamini ndoto yake kubwa ni kuibadilisha nchi ili iweze kupiga hatua na kuheshimika. His vision is clear. Bahati nzuri ana uthubutu na sio mtu wa kubabaishwa na yeyote. Lakini, bila shaka anacheza vibaya siasa zake. Mwenyewe anasema...
www.jamiiforums.com