Tuliambiwa Makamu wa Rais na Waziri mkuu wamehamia rasmi Dodoma, mbona bado wana ofisi zao nyingine Dar Es Salaam?

field marshall1

JF-Expert Member
Sep 17, 2017
1,171
2,730
Tumeambiwa tena si mara moja kuwa Makamu wa rais na Waziri mkuu wamehamia Dodoma...ni sawa, lakini mbona kila siku wapo Dar kwenye ofisi zao zingine? Huu uhamiaji Dodoma upoje?

Ni wazi kuna gharama kubwa kuwa na ofisi mbili....sasa serikali inasevu vipi gharama wakati inahudumia ofisi mbili mbili?
 
Welcome to the biggest project in Tanzania namely Fleecing of Tanzania by the same culprits for the last 57 years (MACCM).

Tumeambiwa tena si mara moja kuwa Makamu wa rais na Waziri mkuu wamehamia Dodoma...ni sawa, lakini mbona kila siku wapo Dar kwenye ofisi zao zingine? Huu uhamiaji Dodoma upoje? Ni wazi kuna gharama kubwa kuwa na ofisi mbili....sasa serikali inasevu vipi gharama wakati inahudumia ofisi mbili mbili?
 
Tumeambiwa tena si mara moja kuwa Makamu wa rais na Waziri mkuu wamehamia Dodoma...ni sawa, lakini mbona kila siku wapo Dar kwenye ofisi zao zingine? Huu uhamiaji Dodoma upoje?

Ni wazi kuna gharama kubwa kuwa na ofisi mbili....sasa serikali inasevu vipi gharama wakati inahudumia ofisi mbili mbili?


na ww kwa akili yako hao wawili unadhani ni baba yako mwenyekiti wa serikali za mitaa

jaza seva tu
 
Tumeambiwa tena si mara moja kuwa Makamu wa rais na Waziri mkuu wamehamia Dodoma...ni sawa, lakini mbona kila siku wapo Dar kwenye ofisi zao zingine? Huu uhamiaji Dodoma upoje?

Ni wazi kuna gharama kubwa kuwa na ofisi mbili....sasa serikali inasevu vipi gharama wakati inahudumia ofisi mbili mbili?
Mbona unacomplicate maisha!
Kama walisema wanahamia Dodoma alafu umeenda Dar umezikuta ofisi zao basi na wewe upo Dodoma.
Tuokoe muda na energy.
 
Ile ilikuwa bongo movie mkuu hata Mwinyi aliwahi kuicheza. Alihamia asubuhi jioni akarudi Dar. Halafu jamaa kwa misifa. Eti siku moja PM alitembea kaumbali kafupi tu kwenda ofisini kutoka hapo walipodai amehamia ikawa ni habari kubwa kwenye gazeti eti "Waziri mkuu atembea kwa miguu kwenda ofisini" Jamani hivi binadamu kutembea nayo ni habari?! Walichofanya ni kutuongezea gharama za kuwa na ofisi 2 mikoa 2 na ukumbuke zote lazima ziwe na wafanya kazi.
 
Ile ilikuwa bongo movie mkuu hata Mwinyi aliwahi kuicheza. Alihamia asubuhi jioni akarudi Dar. Halafu jamaa kwa misifa. Eti siku moja PM alitembea kaumbali kafupi tu kwenda ofisini kutoka hapo walipodai amehamia ikawa ni habari kubwa kwenye gazeti eti "Waziri mkuu atembea kwa miguu kwenda ofisini" Jamani hivi binadamu kutembea nayo ni habari?! Walichofanya ni kutuongezea gharama za kuwa na ofisi 2 mikoa 2 na ukumbuke zote lazima ziwe na wafanya kazi.

Miaka miwili ijayo tutaanza kusikia habari tofauti sana kuhusu haya majengo yaliyokuwa ya wizara za serikali dar. Maintenance cost utilities cost, and security costs. Na kwa uchumi unavyoenda kwa sasa hatuna makampuni makubwa ya kupangisha majengo hayo at a commercial rate. Ilizungumzwa kuwa mengine yatabadilishwa kuwa Hotels- Ila, kwa original designs za majengo mengi sidhani kama itakuwa rahisi hivyo!
 
Ni usanii mtupu.
Huwezi kuhamisha makao makuu wakati Rais hajaenda huko.

Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wanahitaji kufanya kazi kwa karibu na Rais. Akiwa Dar, lazima pia wawe Dar.

Bado anapokea mabalozi Dar, balozi zao haliwezi kwenda Dodoma kama Rais na Foreign Affairs wapo Dar.

Mengine ni usanii mtupu
 
Tumeambiwa tena si mara moja kuwa Makamu wa rais na Waziri mkuu wamehamia Dodoma...ni sawa, lakini mbona kila siku wapo Dar kwenye ofisi zao zingine? Huu uhamiaji Dodoma upoje?

Ni wazi kuna gharama kubwa kuwa na ofisi mbili....sasa serikali inasevu vipi gharama wakati inahudumia ofisi mbili mbili?
Pia tuliambiwa reli ya kasi inajengwa na pesa zetu za ndani lakini juzi tuliona wana kwemda kukopa bank.
Zile bomberdia nazo ilikuwa zije tangu mwaka jana ziko wapi??
 
Mleta mada anavyoelewa kuhama ni kuhamisha watu na majengo Yao kabisa; hivyo alitegemea baada ya wahusika kutangaza kuhama kutokuona tena majengo ya makazi au ofisi zao.

Tumsamehe bure. watu tunatofautiana kwenye uelewa.
 
Back
Top Bottom