Tulia Ackson: Nilishaumwa CORONA Mara mbili, watu wasidhani Mimi siijui

Nimepigwa na butwaa baada ya kuona clip ikisambaa kwenye mitandao ikimuonesha Naibu Spika Tulia Ackson akidai kuwa alishawahi kuugua Covid 19 mara mbili.

Clip hii inamuonesha mwanamama huyu akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina Dkt. Likwelile.

Mbali ya kudai kuugua Covid 19 mara mbili, Naibu Spika amedai kuwa huwa havai barakoa sababu ya kuwa na matatizo ya kupumua. Hivyo sio kwa sababu kuna kiongozi anayemuogopa kwamba hatamfurahisha pale akivaa barakoa.

Lakini swali kubwa la msingi, lini huyu kiongozi aliugua Covid 19? Kama aliugua huko nyuma bona hakutaarifu umma? Mbona hatukupewa taarifa kama kuna maabukizi mapya? Je, hata mwaka 2020 wakati baadhi ya wabunge wanafariki, walifariki kwa Covid-19?

Maoni; Kusubiri vifo vitokee alafu ndio mtuambie kuwa mliugua Covid 19 ni unafiki wa kuwaduza watanzania kisasa. Haufai kabisa bora mkae kimya.
Unaikumbuka ile ajali ya gari ya ya Nditiye , uliwahi kuambiwa ?
 
Tatizo watu wanaona corona ni kifo tu na ndiyo maana kuna watu hadi leo wanakataa hakuna corona kwa sababu kama hizo.
 
Nimepigwa na butwaa baada ya kuona clip ikisambaa kwenye mitandao ikimuonesha Naibu Spika Tulia Ackson akidai kuwa alishawahi kuugua Covid 19 mara mbili.

Clip hii inamuonesha mwanamama huyu akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina Dkt. Likwelile.

Mbali ya kudai kuugua Covid 19 mara mbili, Naibu Spika amedai kuwa huwa havai barakoa sababu ya kuwa na matatizo ya kupumua. Hivyo sio kwa sababu kuna kiongozi anayemuogopa kwamba hatamfurahisha pale akivaa barakoa.

Lakini swali kubwa la msingi, lini huyu kiongozi aliugua Covid 19? Kama aliugua huko nyuma bona hakutaarifu umma? Mbona hatukupewa taarifa kama kuna maabukizi mapya? Je, hata mwaka 2020 wakati baadhi ya wabunge wanafariki, walifariki kwa Covid-19?

Maoni; Kusubiri vifo vitokee alafu ndio mtuambie kuwa mliugua Covid 19 ni unafiki wa kuwaduza watanzania kisasa. Haufai kabisa bora mkae
Mbona wengi tu waliougua korona na wakajisolate wenyewe. Wengi nawafahamu. Jambo lenyewe liko so privately. Wengine hawapendi kuweka mambo yao public. Kumbuka kwamba yeye bado ni kijana na hivyo kinga yake bado iko juu. Nawasilisha
 
Mbona wengi tu waliougua korona na wakajisolate wenyewe. Wengi nawafahamu. Jambo lenyewe liko so privately. Wengine hawapendi kuweka mambo yao public. Kumbuka kwamba yeye bado ni kijana na hivyo kinga yake bado iko juu. Nawasilisha
Bora usingepost kitu.
 
Nimepigwa na butwaa baada ya kuona clip ikisambaa kwenye mitandao ikimuonesha Naibu Spika Tulia Ackson akidai kuwa alishawahi kuugua Covid 19 mara mbili.

Clip hii inamuonesha mwanamama huyu akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina Dkt. Likwelile.

Mbali ya kudai kuugua Covid 19 mara mbili, Naibu Spika amedai kuwa huwa havai barakoa sababu ya kuwa na matatizo ya kupumua. Hivyo sio kwa sababu kuna kiongozi anayemuogopa kwamba hatamfurahisha pale akivaa barakoa.

Lakini swali kubwa la msingi, lini huyu kiongozi aliugua Covid 19? Kama aliugua huko nyuma bona hakutaarifu umma? Mbona hatukupewa taarifa kama kuna maabukizi mapya? Je, hata mwaka 2020 wakati baadhi ya wabunge wanafariki, walifariki kwa Covid-19?

Maoni; Kusubiri vifo vitokee alafu ndio mtuambie kuwa mliugua Covid 19 ni unafiki wa kuwaduza watanzania kisasa. Haufai kabisa bora mkae kimya.
Tayari kaja kingi
 
Kuumwa kwake Korona mara mbili ni proof kuwa staili yake ya kutovaa barakoa inamfanya aambukizwe mara nyingi nyingi.
Sasa musche aache kuvaa barakoa kwenye mikusanyiko aone kama haijamgongea hodi mara ya tatu
unaweza ukavaa ,na bado ukaambukizwa,chamsingi chukua tahadhari.kuvaa barakoa pekee haitoshi.
 
Anachukuaje tahadhari?
Kumbe corona inaweza ikakupiga ikakupa pumzi kidogo ikakupiga tena inakuacha kwa muda inakurabua tena inakuchunia kwa muda inakufumua tena mpaka ukate moto
Corona ni noma
Wale watu ambao hawajaugua sana kufika stage ya kushindwa kupumua kuna uwezekano mkuwa wa kuugua tena na tena,ila wale waliougua sana kama Waziri Mpango uwezekano wa kuugua tena corona ni mdogo ila Mapafu yao ndo kwisheni itamchukua muda mrefu
 
Back
Top Bottom