Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Salary tayari kwa baadhi ya wafanyakazi Kuna Shem wangu askari kanitumia elf 30 saiz nipate bia na dada yake.Nimemuuliza kitu tayari kasema ndiyo
 
Mm leo mgeni wa mtu mmoja hv humu javini najua leo yuko mcharooo sana naona mwendo wake na kale kiuno kama nyigu Ni balaaaa na kaa spacio chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…