Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Anaitwa Harisson George Mwakyembe mzaliwa wa Mbeya mwaka 1955
Alihudumu kama mbunge wa Kyela mpaka pale Ally Jumbe alipompiga kumbo kinomanoma ktk kura za ndani ya chama
Lengo la kuandika ni baada ya kukumbuka baadhi ya matukio kumhusu huyu mwamba, alishiriki ktk tukio kubwa ambalo lilipelekea Waziri Mkuu kujiuzulu na baada ya hapo alipatwa na ugonjwa wa ajabu lkn kabla hajakaa sawa Waziri Mkuu aliyestaafu naye akapatwa na ugonjwa wa ajabu mpaka Leo hii wote hawa wawili hawapo sawa
Mengi yamesemwa kuhusu magonjwa ya hawa matembo wa siasa za bongo ikisemekana kuwa magonjwa yao yamesababishwa na visasi ingawaje hakuna kati yao aliyeliongelea hadharani
Msimu uliopita wa uchaguzi huyu mwamba aliangukia pua baada ya kushindwa vibaya ktk kura za ndani baada ya kushika nafasi ya tatu,wengi wetu tulitegemea anaweza pata zari km wengine jina likienda kwenye kamati za ngazi ya mkoa au taifa wanafanya mafekeche na kupindua meza kibabe lkn kwa huyu ilishindikana na ilikuwa kama mkosi.
Alihudumu kama mbunge wa Kyela mpaka pale Ally Jumbe alipompiga kumbo kinomanoma ktk kura za ndani ya chama
Lengo la kuandika ni baada ya kukumbuka baadhi ya matukio kumhusu huyu mwamba, alishiriki ktk tukio kubwa ambalo lilipelekea Waziri Mkuu kujiuzulu na baada ya hapo alipatwa na ugonjwa wa ajabu lkn kabla hajakaa sawa Waziri Mkuu aliyestaafu naye akapatwa na ugonjwa wa ajabu mpaka Leo hii wote hawa wawili hawapo sawa
Mengi yamesemwa kuhusu magonjwa ya hawa matembo wa siasa za bongo ikisemekana kuwa magonjwa yao yamesababishwa na visasi ingawaje hakuna kati yao aliyeliongelea hadharani
Msimu uliopita wa uchaguzi huyu mwamba aliangukia pua baada ya kushindwa vibaya ktk kura za ndani baada ya kushika nafasi ya tatu,wengi wetu tulitegemea anaweza pata zari km wengine jina likienda kwenye kamati za ngazi ya mkoa au taifa wanafanya mafekeche na kupindua meza kibabe lkn kwa huyu ilishindikana na ilikuwa kama mkosi.