mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,170
- 3,106
- Thread starter
- #21
Ha!Ha!Ha! Umejuaje Mkuu? Yaani Mambo Yalikuwa Yanaenda Hvyo! Uwoga Ulinitawala Sana
Duh! Pole Yako,yaelekea Ulikuwa Kauzuuu, Mpiga Vibuti
Staki kukumbukaaa
Yakale dhahabu. Hakika ni upendo wa kweli japo umri ndio unatatiza kwa fikra.
Mi naoogopaa mama atajua alafu na nikpata mimbaje, nisubrie baadae kuleee ile njia ya kicman, demu kuangalia chini huku aking,atang,ata vidole,kucgina chni na kupachorachora,kuchuma majani majani. Ha ha haab mpk raha jmn kweli huko nyuma kulikuwa kuzur love poem kibao. Xku iz mwatazamana macho kwa macho,ukmpindua hivi dk 0 kakupndua, au uambiwe acha longolongo we sema una sh ngapi au kama vp chapka ucniwekee jam nj.
excel!!!
bora wewe,mie bado sijaanza
miss chagga, hiyo miongo miwili na nusu ndo kujiita mzee...acha zako wee bado m'bichiiii
dah..... sitasahau!
barua niliyoandika kipindi namfukuzia mrembo wangu wa darasa la saba wakati niko la sita,
mpaka leo haijajibiwa!!!!!!!
nimepiga moyo konde... nimesikia mrembo wangu yuko ifm kwa sasa!
almost 9 years now!
Ha!Ha!Ha! Nenda Kaidai Mkuu, Labda Bado Anakufikia. Usikate Tamaa
bora wewe,mie bado sijaanza
mkuu seriously nimemsaka mpaka fb.. nakwambia anazidi kupendeza!!
nimemtumia friend request.. mmh! ni mwezi wa tatu sasa sijajibiwa!!
Kweli Majanga Mkuu, S/msingi Ulikuwa Kilaza Nini? Maana Mi Madem Msini Niliwakosa Sababu Ya Ukilaza Wangu
Mmmh!! hapana.. p/school nilikuwaga mmoja kati ya best students.. ila tatizo lilikuwa kwamba sipati muda wa kuongea nae!
nakumbuka siku moja niliagizwa kwao, mmh! nilitamani nisiondoke! yani alikuwa akiniangalia usoni, mi nahisi niko paradise..!!
basi bana siku hiyo nilimpata zawadi ya dinner yangu...!! binti kajilia chapati sincerely, then nikamuaga nikaondoka na maumivu moyoni!