mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,170
- 3,106
Nilikuwa Siwezi Kumwambia Mpenzi Wangu Jambo Lolote Linalohusu Mapenzi, Niliogopa Angeweza Kukasilika Ilinilazimu Kumuandikia Barua Haijalishi Kama Kila Siku Tunakutana Na Niliogopa Sana Kudai Majibu Ya Barua Hiyo Kwa Kuofia Kama Angetoa Jibu Lenye Malengo Hasi.
Siku Niliyovaa Nguo Mpya Nilijipitisha Mkabala Na Nyumbani Kwao, Lengo Anione Nilivyopendeza Na Kama Hajaniona Nitarudia Mchakato Huo Mpaka Niakikishe Ameniona Na Kama Ameniona, Nitaacha Kuzivaa Nguo Hizo, Sio Kama Sizipendi Bali Ni Hofu Ya Kuonekana Kama Sina Nguo Ya Kubadilisha.
Nilitumia Muda Mwingi Sana Kuwadanganya Marafiki Zangu Kuhusu Mahusiano Yetu, Mfano, Kuwaambia Kuwa Nishafanya Naye Mapenzi, Jinsi Ninavyopewa Zawadi Na Pesa. Hakika Nilihitaji Watu Wanotuzunguka Wajue Ya Kuwa Ninapendwa Hata Kama Mschana Wangu Alikuwa Ana Wazo La "Just Friend"
Ni Msichana Wa Kwanza Kumpenda, Na Nilimpenda Sana Ili Hakuwa Demu Wangu, Wakubwa Zangu Wakabeba Mzigo, Iliniuma Sana, Mpaka Leo Ninamkumbuka.
Ndio Hali halisi, Asilimia Kubwa Tumepitia Huku
Siku Niliyovaa Nguo Mpya Nilijipitisha Mkabala Na Nyumbani Kwao, Lengo Anione Nilivyopendeza Na Kama Hajaniona Nitarudia Mchakato Huo Mpaka Niakikishe Ameniona Na Kama Ameniona, Nitaacha Kuzivaa Nguo Hizo, Sio Kama Sizipendi Bali Ni Hofu Ya Kuonekana Kama Sina Nguo Ya Kubadilisha.
Nilitumia Muda Mwingi Sana Kuwadanganya Marafiki Zangu Kuhusu Mahusiano Yetu, Mfano, Kuwaambia Kuwa Nishafanya Naye Mapenzi, Jinsi Ninavyopewa Zawadi Na Pesa. Hakika Nilihitaji Watu Wanotuzunguka Wajue Ya Kuwa Ninapendwa Hata Kama Mschana Wangu Alikuwa Ana Wazo La "Just Friend"
Ni Msichana Wa Kwanza Kumpenda, Na Nilimpenda Sana Ili Hakuwa Demu Wangu, Wakubwa Zangu Wakabeba Mzigo, Iliniuma Sana, Mpaka Leo Ninamkumbuka.
Ndio Hali halisi, Asilimia Kubwa Tumepitia Huku