ngorope
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,112
- 243
Rosa mistika kimeandikwa na faraji katalambula,kikosi cha kisasi,Willy gamba,kimeandikwa na Musiba
Mkuu Rosa Mistika imeandikwa na Prof. E.Kezilahabi
Rosa mistika kimeandikwa na faraji katalambula,kikosi cha kisasi,Willy gamba,kimeandikwa na Musiba
Mkuu Rosa Mistika imeandikwa na Prof. E.Kezilahabi
TAKADINI ndo kal na bomba maana inafunza watu kuhusu unyanyapaji wa watu wasiokuwa na ngoz(zeruzeru)
Ikibidi Kufa Nife
Kikomo
Hadithi za Allan Quatermann
Alif Lela Ulela
Dunia Hadaa
Robinson Crusoe na Kisiwa Chake
Na ile riwaya tulikuwatunaisoma shule kwenye fasihi jina nimesahau ila kulikuwa na mtu anaitwa Bwana Mkubwa Lyanda wa jamhuri ya Unono!!
Naomba nikumbushe kitabu kimoja kimeandikwa na Kezilahabi kina muhusika mkuu anaitwa Tumaini na theme yake nadhani inaingiliana na utaifishaji na siasa za ujamaa na kujitegemea, setting yake ni vijijini mwanzoni then mjini (Dar) I think. Katika kitabu hico kuna mtu anaitwa John, alitembea na mke wake Tumaini. Mwishono kama sikosei Tumaini alimpiga risasi kiongoz mmoja wa kisiasa akafungwa. Nakumbuka sentensi ya mwisho kabisa "akamfunika kitambaa cheusi usoni, Tumaini akastuka" Kinaitwaje na kinapatikana?Mkuu Rosa Mistika imeandikwa na Prof. E.Kezilahabi
Hiki kitakuwa "Dunia Uwanja wa Fujo"Naomba nikumbushe kitabu kimoja kimeandikwa na Kezilahabi kina muhusika mkuu anaitwa Tumaini na theme yake nadhani inaingiliana na utaifishaji na siasa za ujamaa na kujitegemea, setting yake ni vijijini mwanzoni then mjini (Dar) I think. Katika kitabu hico kuna mtu anaitwa John, alitembea na mke wake Tumaini. Mwishono kama sikosei Tumaini alimpiga risasi kiongoz mmoja wa kisiasa akafungwa. Nakumbuka sentensi ya mwisho kabisa "akamfunika kitambaa cheusi usoni, Tumaini akastuka" Kinaitwaje na kinapatikana?
Hiki kitakuwa "Dunia Uwanja wa Fujo"
Kipo madukni. Nilikinunua posta mwaka jana kwa ajili ya maktaba yangu.
Mkimbizi ya Hussein Tuwa is the best
BARUA NDEFU KAMA HII hii riwaya inasisimua mno