Kuna jamaa hapo juu kasema dawa ni kumkaba.Kupaliwa vipi
Sindano ni changamoto mkuu ukizingatia ztakua zamasaa itakubidi kila baada ya masaa kazaa umtembelee nesi pia sindano sio nzr sana kwa watoto wadogo hasa hawa tunawazungumzia hapa (below 2 yrs)Dawa ni kumuomba dakital wake amubadilishie Dawa badala ya za kumya ampe za kuchoma sindano maana huwa zipo zote ni ww tu kuongea kuwa mwanangu anasumbua kunywa Dawa na atambadilishia.
Iko na mutotoKuna jamaa hapo juu kasema dawa ni kumkaba.
Isitoshe ukimbana pua, mikono, miguu vizuri, hapaliwi hata kidogo.
Dawa ni kumkaba hasa!