Tukumbushane misemo ya kina dada wa uswazi (misemo ya uswahilini)

Tukumbushane misemo ya kina dada wa uswazi (misemo ya uswahilini)

truegooner

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
779
Reaction score
339
Kwa mfano: mdada anamsuta mwenzie kwa kumwambia, 'leo ndo utajua kwa nini maharage si mboga', 'utajua kwa nini jogoo la shamba haliwiki mjini', 'leo utajua kwa nini bata anaharisha', nk.
 
Leo utajua kilichomkosesha nyoka miguuu.
 
Kiruuuu...!! Leo utaona rangi sote nakwambia!
 
"Ndo maisha yetu ya mjini..unachuma tembele huku umeinama, unachuma kisamvu huku umesimama"

source: Times fm
 
kama we mwanamke kweli njooo, we nini bana hautaniwezi, tutabanana hapahapana
 
Kwa mfano: mdada anamsuta mwenzie kwa kumwambia, 'leo ndo utajua kwa nini maharage si mboga', 'utajua kwa nini jogoo la shamba haliwiki mjini', 'leo utajua kwa nini bata anaharisha', nk.

Huna haya ka kopo la chooni kuchungulia ny...chi za watu!!!! loooh., sura kavu ka ngozi ya ----!!
 
>>kantangazeeeeeeeeeeeeee.
>>akutangaze nan akat hta baloz wko hakujuii babueeee
 
Mwanaizaya uciejua vibaya wewe leo utanijua...

Mtu mwenyewe umekuja mjini icku na gari la samaki wanuka shomboooo hehehehee inahusuuuuuu ualijua jiji na mataa yake
 
Back
Top Bottom