Tukumbushane: Mchumba hasomeshwi

Tukumbushane: Mchumba hasomeshwi

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
604
Reaction score
976
Tumeshaimba sana huu wimbo, tatizo lenu especially nyie wavulana hamsikii..

Narudia kuwakumbusha mchumba hasomeshwi! Au ukiamua kumsomesha basi ni sadaka kwa Mungu wako!!

Usijipe guarantee kwa mchumba mwisho wa siku utaharibu future yako bure!!!



Kwa ufupi:-
Rafiki yangu aliyekuwa anaishi nje ya nchi huku akituma kuanzia tuition fee mpaka meals and allowance, alishatoa mahari na kuvisha pete ya uchumba kabla hajaenda ng'ambo ilikuwa mwaka jana mwezi June.. Wakawa wanawasiliana kwa simu tu.. Amerudi weekend. Kumpigia mchumba simu haipatikani, akanda nyumbani kwa wazazi wa binti...
Bahati nzuri akamkuta mchumba, ila hakuamini kumshuhudia mchumba ana mimba!!!
Hakuweza kuongea chochote dakika tano akadondoka chini!! Kumwahisha hospital, jana jioni ndio kafumbua macho

Huu ni ushauri wa bure
 
Nimeanza kampeni rasmi ukiniambia tu unasomesha mchumba nakupga makofi sitaki ujinga

Kila siku turudie kitu kimoja wewe nan ambae huelewi mchumba hasomeshwi

Dunia ilivyo ya ajabu kuna jinga moja utakuta limelala kitandani linashikwa shikwa kifua na kitambi linaanza kututukana sisi tunaosema mchumba hasomeshw

Miak mingap mbelen litakuja na uzi huku likilalamika au tutaanza kupishana nalo mahakaman na mapingu yake

MCHUMBA HASOMESHWI NA MKE PIA BILA KUSAHAU

MKE FUNGULIA BIASHARA YA FAMILIA HAPO ASAIDIE KIPATO NYUMBANI AKIZINGUA UTAMPA TU MAFAO
 
Hii picha inahuzunisha sana.
1. Wanawake, kama humpendi mtu acha kutumia mali zake.

2. Pesa ni ngumu mno. Mtu anakugharamia kwa moyo mmoja akijua anamsaidia mtarajiwa!

3. Wanaume tuache huu ujinga wa kuwasomesha wachumba watarajiwa.
FB_IMG_1571741809674.jpeg
 
Tumeshaimba sana huu wimbo, tatizo lenu especially nyie wavulana hamsikii..

Narudia kuwakumbusha mchumba hasomeshwi! Au ukiamua kumsomesha basi ni sadaka kwa Mungu wako!!

Usijipe guarantee kwa mchumba mwisho wa siku utaharibu future yako bure!!!



Kwa ufupi:-
Rafiki yangu aliyekuwa anaishi nje ya nchi huku akituma kuanzia tuition fee mpaka meals and allowance, alishatoa mahari na kuvisha pete ya uchumba kabla hajaenda ng'ambo ilikuwa mwaka jana mwezi June.. Wakawa wanawasiliana kwa simu tu.. Amerudi weekend. Kumpigia mchumba simu haipatikani, akanda nyumbani kwa wazazi wa binti...
Bahati nzuri akamkuta mchumba, ila hakuamini kumshuhudia mchumba ana mimba!!!
Hakuweza kuongea chochote dakika tano akadondoka chini!! Kumwahisha hospital, jana jioni ndio kafumbua macho

Huu ni ushauri wa bure
Usipo msomesha sema huna hela na wewe ni bahili. kwani kuamua kumsomesha si lazima umuelewe tabia yake kuwa anahangaika hatokaa na wewe hata baada ya kumsomesha
 
Usipo msomesha sema huna hela na wewe ni bahili. kwani kuamua kumsomesha si lazima umuelewe tabia yake kuwa anahangaika hatokaa na wewe hata baada ya kumsomesha
Thamani ya milioni moja iliyopo mfukoni sio sawa na thamani ya milioni moja unavoinvest kwa mchumba


Fedha inayoambatana na kunuia jambo huwa ina thamani na pia kwenye ulimwengu wa roho ni mkataba wa agano
 
Ni changamoto kwakweli.
Uzwazwa uliopitiliza
 
Nimekuelewa sana mkuu
Thamani ya milioni moja iliyopo mfukoni sio sawa na thamani ya milioni moja unavoinvest kwa mchumba


Fedha inayoambatana na kunuia jambo huwa ina thamani na pia kwenye ulimwengu wa roho ni mkataba wa agano
 
Ila nasisi jinsia ya kike tumezidi..kwanini ukubali kusomeshwa au kuhudumiwa na mtu unaejua hutokuja kua na future nae?

Kuna umuhimu wa kuandikiana mikataba ya malipo linapokuja suala la kusomeshwa/kusomesha mtoto wa kike (mchumba/gf).
 
Ila nasisi jinsia ya kike tumezidi..kwanini ukubali kusomeshwa au kuhudumiwa na mtu unaejua hutokuja kua na future nae?

Kuna umuhimu wa kuandikiana mikataba ya malipo linapokuja suala la kusomeshwa/kusomesha mtoto wa kike (mchumba/gf
Hakuna haja ya kusomesha... Dawa ni kukaa kimyaa tu!! Hakuna haja ya kuweka rehani hisisa zako
 
Somesheni acheni woogaaa...

Mapenzi ili yanoge zaidi ni pamoja na kutake risk...

We take a lot of risk in love n relationships.. The higher the risk the higher the return...

Acheni uwogaa MABAHARIAA......

Love is invested...
 
Ila nasisi jinsia ya kike tumezidi..kwanini ukubali kusomeshwa au kuhudumiwa na mtu unaejua hutokuja kua na future nae?

Kuna umuhimu wa kuandikiana mikataba ya malipo linapokuja suala la kusomeshwa/kusomesha mtoto wa kike (mchumba/gf).
nikiwa kama mpezi msomaji nakupongeza saana kwa ushauri huu kwa wadada wezako
 
Ila nasisi jinsia ya kike tumezidi..kwanini ukubali kusomeshwa au kuhudumiwa na mtu unaejua hutokuja kua na future nae?

Kuna umuhimu wa kuandikiana mikataba ya malipo linapokuja suala la kusomeshwa/kusomesha mtoto wa kike (mchumba/gf).
nikiwa kama mpezi msomaji nakupongeza saana kwa ushauri huu kwa wadada wezako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom