Tukumbushane maneno "tata" ya Lugha ya Malkia

riziki ni kitu kilicho chema apewacho mtu na Mwenyeenzimungu ambacho hujivunia na kuona fahari kuwa nacho....
Okay mkuu ila ongeongeza mtt wakiume n GAY
Na wakike n lesbian

Kitu kisicho riziki kuna vingi hata mtoto MUONGO kwa maana yako
 
tofauti ni nini babe wangu
Your .... ni kiwakilishi kimilikishi ktk nafsi ya pili ... yako, lako, chako, zako, yenu, lenu, chenu, zenu nk

...... It's a possessive pronoun used in 2nd person (singular & plural ...)

You are .... kiwakilishi cha nafsi ya pili (umoja & wingi) kikiwa na kiunganishi/kitenzi ...... Wewe ni, ninyi ni .... ama Una ...(tendo) .... mna ...(tendo) ....

...... A 2nd person (singular & plural) personal pronoun with a verb/conjunction .....
 
Kwa kukazia maarifa .... mtu ahusikae na uuzaji wa STATIONERIES huitwa STATIONER
 
Back
Top Bottom