Katika makosa ambayo Big Carlo Ancelotti anayajutia ni kuamini Thiery Henry kuwa ni kiungo wa pembeni.
Alivyokuja pale Juve niliamini kuwa Henry ni Winga, lakini kumbe nilikuwa nakosea.
Niliwahi kuambiwa na rafiki yangu kuwa huyu Mtu ni Striker lakini nilikataa katakata.
Baada ya Henry kutua Arsenal mwalimu Wenger alimpa nafasi kama Mshambuliaji na niliamini nilikuwa nimefanya kosa kuubwa sana.
Zlatan Ibrahimović: “I just don't like Chelsea, period. They are a team who use 2 coaches in one season before they could able to achieve something - for me that’s not a team. Chelsea bought its success with money, simple as that.”
Samuel Eto'o: "I can't compare José Mourinho to Pep Guardiola, one of them failed to win the Champions League with Bayern Munich while the other won it with Porto." 🔥
Solskjær: "Naturally you want to go attacking but when there is a player like Traoré you would be stupid to leave him. We all went forward and they created chances through it." #mulive [sky]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.