Habar wapendwa, ku a baadh ya wadau wakiwa wanapost, mfano anatatizo anataka kusaidiwa jins ya ku root smartphone, yeye katika TOPIC TITLE anaandika *jinsi ya kuroot smartphone* alaf katika ku WRITE SHORT PARAGRAPH ndo anaandika naomba mnisaidie jinsi ya ku root smartphone. Guys ivo sio. Kwasabab mtu akiona topic title inasema ivo bas anajua kuwa Kuna kitu anaenda kupewa Lakin cha ajab anabak anashangaa coz alichokitegemea sio.
Kwa mfano kwenye TOPIC TITLE unatakiwa uanze na *Msaada jinsi ya ku root smartphone* kwahyo hapo nawakumbusha tu coz unakuta ukifungua hyo thread pengne inafungukia mbal sasa unapitia thread moja baada ya nyingne alaf unakuta kitu tofaut kabsa. Nashukur kwa watakao nielewa.
Kwa mfano kwenye TOPIC TITLE unatakiwa uanze na *Msaada jinsi ya ku root smartphone* kwahyo hapo nawakumbusha tu coz unakuta ukifungua hyo thread pengne inafungukia mbal sasa unapitia thread moja baada ya nyingne alaf unakuta kitu tofaut kabsa. Nashukur kwa watakao nielewa.