Tukumbushane 'formulas' tulizokuwa tunakariri shuleni

Mpaka mwaka 3200 nitakuwa sijui mahali pa kuifanyia kazi hii formula katika maisha halisi, elimu yetu haina tofauti sana na ELIMU YA MJINGA tunasoma ili tujibu mitihani.

thats on your side ila ni vema ungetuliza tu mdomo maaana izi formular zina heshma kubwa sana dunia hii: ina maana ata jamii forum ungekua unaiskia sanduku la posta kama sio izi forumar
 
1583955340965.png
 
ZEZUDU MISUSA ZOKAU...

Zebaki
Zuhura
Dunia

Mihiri
Sumbura
Satani

Zohari
Kausi
Utaridi..


Hizo ni sayri tisa kwa lugha ya kiswahili
Nilijifunza toka darasa la tano Hadi leo nakumbuka ni zaidi ya miaka 20 Sasa..

Asante mwalimu samike mwanza



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka mwaka 3200 nitakuwa sijui mahali pa kuifanyia kazi hii formula katika maisha halisi, elimu yetu haina tofauti sana na ELIMU YA MJINGA tunasoma ili tujibu mitihani.

Mpaka mwaka 3200 nitakuwa sijui mahali pa kuifanyia kazi hii formula katika maisha halisi, elimu yetu haina tofauti sana na ELIMU YA MJINGA tunasoma ili tujibu mitihani.
Dah.....mkuu....karibu kila maamuzi tunayofanya maishani tunatumia misingi ya sayansi na hisabati bila wenyewe kujua....chukulia mfano unata kuvuka barabara huku kukiwa Kuna gari linakuja...maamuzi ya kuvuka au kutokuvuka huja baada ya kalkulesheni Kali ambazo tunayofanya bila wenyewe kujua🤣🤣🤣🤣🤭
 
Aisee tuliogundua formula za kukuariri tunaomba tujengewe sanamu zetu mikoani huko japo mengine yalikuwa matusi lakini iki kufaulu tulikomaa

1. Transisional Elements
Scandium (Sc), Titadium (T), Vanadium (V), Chromium(Ch),Manganese (Mn), Iron (Fe), Cobalt (Co), Nickel (Ni),Copper (Cu), Zinc(Zn)

Njooni wadau tuimbe ule wimbo ila tuangalie TCRA wasituone.....
 
Kofia Huuzwa Dukani Mwa Daudi Senti Miamia au kwa kurudi nyuma ni Mimi Sili Dagaa Maana Dagaa Huumiza Koo. Huo ni mpangilio wa vipimo vya metriki vya urefu kuanzia Kilometa hadi Milimeta.
 
Back
Top Bottom