Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Ndio maana sitaki urafiki wa karibu na wasichana kwani wanaweza kukupenda mapema na kukuharibia uhusiano wako
Hahahahaa.... It's possible kama unampigia simu unamuuliza eti umekula? Mara umeamkaje, pole na kazi akiumwa upo karibu...utapendwa tu..japo sio mara zote inatokea