OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,195
- 103,719
Kama ni mfuatiliaji wa bunge utakubaliana nasi. Huyu muheshimiwa ni tatizo kubwa katika nchi hii. Katika watu watatu waharibifu na wahujumu wa bunge letu huru anashika hatamu. Sijui kama cheo na uwaziri wake majukumu yake ni kukataza watu kutoa michango michungu ama la. Halafu muongo na mpotoshaji mkubwa sana. Yuko radhi kupotosha kanuni za bunge kufurahisha mabos wake
Yeye kuwa tatizo hakukuanza katika awamu hii ameanza kitambo toka enzi za JK.
Anaudhi sana waheshimiwa wabunge wetu wanapokuwa kwenye mtiririko wa kufunguka anakuja kuingilia na miongozo/utaratibu/taarifa. Ajabu sasa hata jambo analololeta halina kichwa wala miguu ilimradi amtoe mbunge kwenye reli.
Wana Peromiho tuondoleeni hili tatizo,ni kubwa