Ubadhirifu na ufunjwaji wa fedha za umma unao ibuliwa na Ripoti za CAG kila mwaka ni ushihidi wa viongozi wetu kuto kuwajibika ipasavyo ktk usimamizi.
Tunamuomba sana Waziri Mkuu awasimamie vilivyo walio chini yake, haswa Mawaziri, Mnaibu, wakuu wa Mikoa, Wolaya, Wakurugenzi, na wakuu wa Idara zingine.
Vivyo hivyo tunawaomba hao wanao simamiwa pia na wao watimize majukumu yao ya kuwasimamia walio chini yao.
Naamini kila mmoja akitimiza wajibu wake inavyo takiwa hakuna hata shilingi moja itaibiwa.
Tupunguze maneno mengi, tufanye vitendo,
pesa za umma haziitaji siasa bali vitendo,
viongozi wetu tuwe wakali kwenye fedha za umma.