Wananchi wamekuwa wakishuhudia kila mwaka Ripoti za CAG zikibaini ubadhirifu wa fedha za Serikali haswa ktk Halmashauri zetu na baadhi ya taasisi za umma.
ufujaji, ubadhirifu, wizi, upotevu n.k n.k.
Sasa tunashauri jambo moja;
1. Endapo Ripoti ya Ukaguzi ya mwaka wa 2021/2022 itabaini ubadhirifu, upotevu, wizi na ufisadi wa fedha za umma, tunaomba viongozi watendaji au wanao simamia wajiuzulu mara moja.
sisi wananchi tunachukizwa sana na ubadhirifu wa mara kwa mara unao jitokeza hivyo hatuko tayari tena kuona ubadhirifu ukitokea., na endapo utatokea basi viongozi wenye dhamana ya kusimamia mamlaka mbalimbali watapaswa wajiuzulu mara moja, na ikiwezekana watatakiwa wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Ripoti ya mwaka 2022 lazima iwe ni fundisho.
ufujaji, ubadhirifu, wizi, upotevu n.k n.k.
Sasa tunashauri jambo moja;
1. Endapo Ripoti ya Ukaguzi ya mwaka wa 2021/2022 itabaini ubadhirifu, upotevu, wizi na ufisadi wa fedha za umma, tunaomba viongozi watendaji au wanao simamia wajiuzulu mara moja.
sisi wananchi tunachukizwa sana na ubadhirifu wa mara kwa mara unao jitokeza hivyo hatuko tayari tena kuona ubadhirifu ukitokea., na endapo utatokea basi viongozi wenye dhamana ya kusimamia mamlaka mbalimbali watapaswa wajiuzulu mara moja, na ikiwezekana watatakiwa wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Ripoti ya mwaka 2022 lazima iwe ni fundisho.