Tuko serious Lowassa awe Rais?

Tuko serious Lowassa awe Rais?

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.

Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.

Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.

Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.

Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.

Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.

Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.

Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.
 
Unaumwa wewe. Kikwete kachukua nchi, leo watoto wake ni mabilionea. Si afadhari tumpe Lowasa.
si afadhali ridhione ambaye anayarudisha manbilioni yke jumbo ni japokua huna proof kua yeye ni billionaire..acha kuupumbaza umma
 
Kweli wamesema; Nyani haoni kundule. Weye unashangaa Monduli kutokuwa na maendeleo, unalinganisha Deo na muda wake mfupi aliokaa bungeni.
Mbona hulinganishi Riziwan na Babake?? Jimbo laa Riz si alikaa babake miaka na hakuleta maendeleo yeyote? Mbona Riz kabla hata ya kuingia mjengoni aliahidi kununua trekta kwa kila kijiji?? Mbona mnakuwa mazuzu? Vijiji hivyo vingelikuwa na trekta angewanunulia nyingine?? Miaka yoote babake amekuwa waziri na sasa ni rais mbona hakupeleka maendeleo huko??
ujinga si lazima ukausomee, Shule ile tulioneshwa kwenye luninga, shule ya msingi, ati juu imeezekwa nyasi, ni wapi ka si jimboni mwake, LETENI HOJA wala si vioja hapa. Ukitaka mapinduzi kamili, mchague Lowasa awe rais wako. Atakuletea maendeleo. Na Chama pekee cha ukombozi kipo UKAWA
 
twende kwanza chato, butiama, masasi mtwara tufanye comparison sio kuleta hoja feki hapa
 
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.

Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.

Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.

Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.

Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.

Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.

Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.

Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.
Lowasa ni janga la taifa pia ni janga sugu la wazawa mungu atuepushe na dhahama hii isitukute tutakuwa tumepata hasara kubwa sana kama taifa.
 
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.

Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.

Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.

Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.

Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.

Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.

Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.

Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.

Great stuff. Lowassa is another nightmare in Tanzania
 
sory bro! kwa kupinga hoja hii icyo na ushawish ndan yake.besicaly wamasai co wasomaj wala wafanyabiashara ila tembea mondul uone huduma za jamii zilivyoimarka
 
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.

Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.

Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.

Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.

Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.

Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.

Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.

Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.

mkuu hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Sijui ni nan katuloga watanzania mpaka kuwa wapumbavu kiasi hiki.

Wanadanganywa eti anauchukia umaskin ndio anauchukia kwa familia yake lakn sio kwa watz.
 
Katika uchaguzi wa 2010 Jimbo la Monduli ndio liliongoza kumpa kura nyingi JK. Jiulize kwa nini?
 
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.

Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.

Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.

Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.

Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.

Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.

Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.

Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.

njooni kivingine yeye mwenyewe ashasema ana Watz wanampa mahaba! issue ni muda EL kakuta watu wanataka changes na yeye kakamatia hapo hapo muda kwa sasa haupo kwa ccm! ccm in zaidi ya old fashion, outdated!

Hakuna mwanasiasa ambaye hana uchu wa madaraka ingekuwa hivyo ccm wasingeomba tena kura washaongoza more than 50 years na yamewashinda na yet wanaomba tena kuongoza! au JK asingeomba tena 2nd term maana ya kwanza alishaprove failure.
 
Nasubiri kwa hamu kusikiliza vipaumbele vya Lowassa akiwa Rais.

Labda kesho (29/08/2015) atasema wakati anazindua kampeni. Hivi UKAWA wana ilani ya uchaguzi? Ilani inayoweza kubeba zile za CDM, CUF, NCCR and NLD ya Makaidi.

Hadi wakati huu (28/08/2015 - 13:51 PM) sijaelewa nini sera ya Lowassa. Akisema anachukia umaskini watu wanashangalia lakini hajasema umaskini wa nani. Wa kwake na ndugu zake au umaskini wa watanzania wote? Miaka yote ndani ya serikali kafanya nini kupambana na umaskini huo nchini na jimboni kwake?

Nikisema hayo simaanishi CCM ndio malaika.

Uchaguzi wa mwaka huu Taznzania ipo njia panda. Chama sahihi (CDM/UKAWA) wana mgombea asiyefaa. Mgombea sahihi (Magufuli) yupo chama kisichofaa. Najiuliza kipi bora? Mgombea safi kwenye chama kichafu au Mgombea mchafu kwenye chama safi?
 
Tokea Lowassa awavutie maji wananchi wa jimbo la Monduli, na kuwajengea madarasa ya sekondary kila kata maccm yalimchukia to the maximum.
CCM ilimchukia mno Lowassa pia baada ya kuwasaidia vijana wa kimasai kupata ajira kwenye hifadhi za taifa kama Tanapa, Ngorongoro conservation, pia kwenye makampuni ya uchimbaji wa madini, TRA nk.


CCM hawakupenda kabisa jamii ya watu wa Monduli waone mlango wa darasa.

Wamasai ni wafugaji, huyu mleta mada ni kenge maana hakuna hata ukosefu wa ajira.
 
Back
Top Bottom