MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Jumamosi tumetoka na binamu zangu na wadogo zangu, tumeenda sehemu tukiwa tumejiaandaa kujirusha .
Tumeagiza vinywaji kila mtu kwa jinsi alivyo taka kutii kiu yake.
Tukiwa bado tunaendelea muhudumu akatokea "akina dada mmepata offer kutoka meza ile pale, but nyie watano mnaambiwa mbadilishe vinywaji ili hii offer itolewe"
Hii ni ustaarabu jamani?
Au hii imekaaje?
Tumeagiza vinywaji kila mtu kwa jinsi alivyo taka kutii kiu yake.
Tukiwa bado tunaendelea muhudumu akatokea "akina dada mmepata offer kutoka meza ile pale, but nyie watano mnaambiwa mbadilishe vinywaji ili hii offer itolewe"
Hii ni ustaarabu jamani?
Au hii imekaaje?