Tukithamini na kiswahili si kila siku kingereza tu

Idd Ninga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
5,136
4,298
Labda kwa kuwa kiswahili kimekuwa lugha ya mazoea katika midomo yetu lakini pamoja na hayo haimaanishi tukiache.
ukitazama kwa sasa wengi wanaamini kuwa kujua kuzungumza kingereza ndio kuelimika kwenye kwa sababu hata huko vyuoni elimu nyingi hutolewa kwa kingereza.
ukitazama hapa Jf utakutana na nyuzi nyingi za kufundishana kingereza lakini za kiswahili dah.
watu wanadhani kuwa wanajua kiswahili hali ya kuwa kinawapiga chenga kwa baadhi ya maneno ambayo pia tulipaswa tufundishane kwa wingi.
tusipothamini vya kwetu,hatutothaminiwa.
 
English language is inevitable under the wave of globalisation, Swahili is just a medium of communication in TZ. Most of the government agencies , companies and institution keep their records in English. Most national examinations are done in English, same applies to laws, court ruling by Judges, financial record in banks ,etc.
Let English be taught from kindergarten schools to tertiary level if we really need to transform our generation in a competitive labour market.
 
Mtumwa siku zote hana uwezo wala mamlaka ya kuinua magoti mbele ya bwana wake.
daima mtumwa anakuwa chini na kuamini kile kilichopo katika mikono ya bwana wake.
mtumwa hawezi kufikiria katika ukubwa wa akili yake bali hufuata mawazo na fikra za bwana wake.
mtumwa hawezi kuamini kile kilichopo katika mikono yake bali huamini kile kilichopo katika mikono ya bwana wake.
mtumwa haoni wa kusikia kwa masikio yake,bali husikia na kuona kwa macho ya bwana wake.
 
Back
Top Bottom