Tukisema stendi ya mkoa wa Kagera ni mbaya ni mbaya kweli. Sasa hapa utakanyaga wapi

Yaan kuhusu chama nadhani bukoba walishachoka.bukoba imengozwa na cuf, CCM na chadema but hakuna aliyeweza kujenga stendi.

Wa sasa kaingia CCM naye yupo kimya hata hasemi kitu chochote cha dharura sijui anaona kawaida
Mkuu kuna pesa zilitolewa na WB za ujenzi wa stendi na Masoko kwenye Halmashauri za Miji inakuwaje Bukoba hawakupata huku Miji kibao ilipata?
 
Mie hapo siwezi kwa kweli, khaaah maana tope jingi mno,
Serikali inagawa takrima kwa wastaafu, huku wanachi wanapata adha ya kituo cha mabasi, inakera sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndo magari yanapoishia sasa.wenye mabasi walishazoea Tu.


Just imagine mkoa wa kagera na population yake yote na kupakana na nchi kibao lakin stendi sasa . Na magari yote hupita na mengi ne kulala hapo.

Halafu unaskia Tamisemi haipati outcome na miradi wakati wanajenga miradi mikubwa kisiasa bila kuagalia sehemu zenye uhitaji
 
Mkuu kuna pesa zilitolewa na WB za ujenzi wa stendi na Masoko kwenye Halmashauri za Miji inakuwaje Bukoba hawakupata huku Miji kibao ilipata?
Siasa siasa za uchama za mwendazake (maana ilikuwa chini ya chadema) na migogoro ya CCM hapo bukoba ndo imefanya stendi ya bukoba ifikie hapa.

Siasa zimefanya kujengwe uwanja wa ndege vijijini chato na kuacha Mambo yanayogusa wananchi wengi kama haya.



Watu wa kagera utawasikia wanasema " waache waijenge Dar " huku bukoba kila mtu akijenga nyumba yake vijijini.
 
Namuomba mkuu wa majeshi ajitolee nguvu kazi pamoja na maroli yasombe kokoto (au pavement blocks) zitandazwe kwenye eneo lote la stendi.
Namuomba waziri wa fedha aidhinishe (kwa hati ya dharula) kiasi cha kati ya sh milioni mia tano hadi bilioni moja kwenda kwa mkuu wa majeshi kumuwezesha kufanya kazi hii.
Namuomba waziri wa ujenzi kusimamia zoezi hili liwe limekamilika ndani ya mwezi mmoja ili kuwaondolea kadhia hii wananchi wakati tunatafuta fedha za kujenga stendi ya kudumu.
 
Ile 800mil na ushee tulisikia ya ukarabati wa nyumba ya mkuu wa mkoa si wajenge hio stand? Au nyie wazee wa kaisho na katerero huko hamna vipaumbele?
 
Hapo unaweza ukasia Mpunga

Huko ndani ya basi si itakua zizi la ng'ombe?
Ndio maana wakishuka mbezi wamebeba viatu kwenye mbadala kumbe wanatoka hapo..

Ukiteleza au Boda akikuangusha safari hamna.
 
Bora hiyo kuliko Kule Mtwara amini hivyo
Yaan stendi ya bukoba ina kila Aina ya tatizo.

Matope,mashimo ,ndogo,nyekundu na vumbi wakati wa mvua. Hakuna sehemu ya kukaa abiria,hakuna vyoo vya kutosha, sewage mbovu yaan kila Aina ya tatizo.

Na viongozi wako kimya
 
Namuomba mkuu wa majeshi ajitolee nguvu kazi pamoja na maroli yasombe kokoto (au pavement blocks) zitandazwe kwenye eneo lote la stendi.
Namuomba waziri wa fedha aidhinishe (kwa hati ya dharula) kiasi cha kati ya sh milioni mia tano hadi bilioni moja kwenda kwa mkuu wa majeshi kumuwezesha kufanya kazi hii.
Namuomba waziri wa ujenzi kusimamia zoezi hili liwe limekamilika ndani ya mwezi mmoja kuwaondolea kadhia hii wananchi wakati tunatafuta fedha za kujenga stendi ya kudumu.
Viongozi wa bukoba hata hawajali lolote
 
Hiv bukoba kuna mkurugenzi wa manispaa kweli? Vip viongozi wa mkoa? Na je mbunge? Waziri wa tamisemi yupo kweli. Tazama stendi ya bilele huko bukoba.

Sasa hapa utakanyaga wap. Na wamearibu kabisa walipomwaga ufongo plus mvua za bukobaView attachment 1780184View attachment 1780185View attachment 1780186

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Unaruka juu juu Mkuu au unakodi mtu akubebe kwa mgongo
Watu wengi wanashukia njiani.


Hii stendi imefanya barabara zote za kata nzima ya bilele yaan town centre ziwe na tope jekundu
 
Back
Top Bottom