CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Nasisitiza bora hyo kuliko kule kwa wamakonde yaan huko ni shambani kabisaaaYaan stendi ya bukoba ina kila Aina ya tatizo.
Matope,mashimo ,ndogo,nyekundu na vumbi wakati wa mvua. Hakuna sehemu ya kukaa abiria,hakuna vyoo vya kutosha, sewage mbovu yaan kila Aina ya tatizo.
Na viongozi wako kimya