aaah jamaa kajiropokea tunaona ata suarez,pique,Mascherano wanakaa benchi
aaah jamaa kajiropokea tunaona ata suarez,pique,Mascherano wanakaa benchi
hakawezi na anavyojua kuzila atastaafu soka kabla ya umri.Kaleteni ka messi EPL muone kama kataweza.
messi akicheza na timu za epl ni aibu hata kuangalia huwa kama baba anacheza na watoto wake ni hattrick na matobo kwa kwenda mbelehakawezi na anavyojua kuzila atastaafu soka kabla ya umri.
huyu pedro aliyokuwa anakaa bench huku anaonekana kama messiKawaulize man city na guardiola wao kilichowakuta kwa Everton
sasa kila mkikutana mnatandikwa nyie tu tena kwa aibu hata europa tu inawashindaMpira duara, anything can happen, natamani EPL na LA LIGA ziwe mixed japo for 3 seasons tuone, sio timu zinakutana UEFA katika miaka 10 mara moja afu unasema timu za huku nzuri kuliko za kule.
okey unahis kinamchomshinda guardiola kupata mafanikio ni aina ya wachezaji alionao au aina ya mfumo anaotumia kuota mafanikiohuyu pedro aliyokuwa anakaa bench huku anaonekana kama messi
Wanaoshiriki EPL watakwambia ukweli tena usiwalinganishe na Madrid au Barca au A. Madrid bali Sevilla Malaga A.Club ndo zinatoshaHata madrid wakicheza ligi ya uingereza watapigwa na wakina burnley tuuu
Uwezo mdogo,okey unahis kinamchomshinda guardiola kupata mafanikio ni aina ya wachezaji alionao au aina ya mfumo anaotumia kuota mafanikio
kuna siku wilshere alikata umeme pale emirates,messi akawa yupoyupo tu kama kilinda mpunga,hafanyi lolote,wakala 2 licha ya kutangulia kwa 1messi akicheza na timu za epl ni aibu hata kuangalia huwa kama baba anacheza na watoto wake ni hattrick na matobo kwa kwenda mbele
kumbukumbu zangu zinaniambia sevilla alikula goli 7 na man city,madrid huwa anakimbzwa kabisa hapelekwi epl,na soon barce atakua haendi eplWanaoshiriki EPL watakwambia ukweli tena usiwalinganishe na Madrid au Barca au A. Madrid bali Sevilla Malaga A.Club ndo zinatosha
Eti Leicester City ndo alibeba kombe!! EPL ligi ya kipumbavu sana.EPL ingekuwa kipimo basi wangekuwa wanabeba makombe yote nje ya league yao kwa bahati mbaya hata fainali team zao hazifiki
EPL ni league ya vita wao kwa wao
Karibia team zote zinauwezo sawa et hata Sunderland anaweza beba kombe
Ligi ya ajabu kabisa et Leicester City ndo mabingwa watetezi hii inapatikana tu EPL
Et Leicester ndo mshiriki CL akiwakilisha Manuu Chelsea na Liverpool haya ni maajabu yapo Epl
Ni league ambayo mchezaji aliyevunja record ya kusajiliwa yupo team ambayo haipo CL
EPL ni league pekee ambayo league zote zipo sawa tu yaani hata Championship kuna team ipo sawa au kuizidi Manuu uwezo na ikipanda daraja inaweza beba kombe
EPL walitakiwa waanze kicheza sambi coz sifa zote wanazo za sambi
Ila Ligi atabeba. Usiifananishe Madrid na Barca na timu yoyote ile duniani kwa miaka hii ya karibuni.Hata madrid wakicheza ligi ya uingereza watapigwa na wakina burnley tuuu
Na ndo mungu wao.Co mfumo sanchez alikuwa kwenye wakati mgumu mbele ya akina messi na villa ila angalia alipo tua arsenal c alikuwa free player ndani ya uwanja
Naona umemsahau Messi kwa Arsenal ni nani?kuna siku wilshere alikata umeme pale emirates,messi akawa yupoyupo tu kama kilinda mpunga,hafanyi lolote,wakala 2 licha ya kutangulia kwa 1
itakua umesahau wilshere alivokata umeme,xavi anadai hajawah kuwa outplayed kiasi kile maishan,wakpotea watu pale kati,yule kumbikumbi anakua bure afadhal ya giroudNaona umemsahau Messi kwa Arsenal ni nani?
Kajichanganya EPL ni ligi yenye ushindani la liga ni ligi boraYaani liver umetoa sababu ya mwalimu alikuwa mpya, je Guardiola ni mwalimu wa zamani Man City.?