Makocha ligi kuu ya Tanzania msifundishe timu kupata point 3 tu, Bali fundisheni timu kucheza kwa kulinda afya za wachezaji wenzao.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,738
Hii ni ligi ya Tano kwa ubora Africa Kama inavyolipotiwa Lakini ukiangalia timu zinavyocheza unaweza kuzani ni "shaulin soccer.

Kuna muda ukiangalia mpira mpaka unashika moyo unaona kabisa Hawa wanauana.

Mchezo dhidi ya Dodoma jiji na Azam kipindi Cha kwanza ilikua ni hatari sana walichezeana mchezo usipkuwa wa kiungwana mpaka Yaniki bangala alichanika msuli wa paja Kama ilivyoripotiwa na kitengo Cha madaktari wa klab za Azam Fc.

Mchezo wa Tabora United na Dodoma jiji Fc ulikua NI mchezo wenye madhambi mengi sana na Refalii alikua anapotezea tu mpaka unajiuliza huu ni mpira wa ugomvi??

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kushauri makocha katika uwanja wa mazoezi wawafundishe wachezaji namna ya kulinda afya za wachezaji wenzao.

Na ndiyo maana hizi timu zinapokutana na Timu Kama Simba sc au Yanga Sc kwa uchezaji wao lazima zipatikane penati na kadi za njano mpaka nyekundu wachezaji wanakua wanazigharimu timu zao.
 
Hii ni ligi ya Tano kwa ubora Africa Kama inavyolipotiwa Lakini ukiangalia timu zinavyocheza unaweza kuzani ni "shaulin soccer.

Kuna muda ukiangalia mpira mpaka unashika moyo unaona kabisa Hawa wanauana.

Mchezo dhidi ya Dodoma jiji na Azam kipindi Cha kwanza ilikua ni hatari sana walichezeana mchezo usipkuwa wa kiungwana mpaka Yaniki bangala alichanika msuli wa paja Kama ilivyoripotiwa na kitengo Cha madaktari wa klab za Azam Fc.

Mchezo wa Tabora United na Dodoma jiji Fc ulikua NI mchezo wenye madhambi mengi sana na Refalii alikua anapotezea tu mpaka unajiuliza huu ni mpira wa ugomvi??

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kushauri makocha katika uwanja wa mazoezi wawafundishe wachezaji namna ya kulinda afya za wachezaji wenzao.

Na ndiyo maana hizi timu zinapokutana na Timu Kama Simba sc au Yanga Sc kwa uchezaji wao lazima zipatikane penati na kadi za njano mpaka nyekundu wachezaji wanakua wanazigharimu timu zao.
Binafsi naona ligi kuwa Bora kunategemea mbali ya vigezo vingine Kuwe na waamuzi Bora pia. Ligi haina waamuzi kabisa ni maajabu hawa wasimamizi wa mazoezi tumewapandisha kuwa waamuzi.
Suala la pili ni kama ulivyosema. Timu zinafundishwa kupata matokeo Kwa njia haramu zaidi kuliko halali. Nikupe mfano Mechi ya Jana Coast Vs Azam. Azam walipata goli mapema kipindi cha Kwanza kupitia Feisal, lakini tofauti na timu zilizofundishwa ujinga niliwaona Azam wakienenda kisoka na Hakuna mchezaji wa Azam aliyepoteza Muda Kwa kujidondosha wala kusingizia pumbu zinauma. Lakini wangekuwa wao Coast wanaongoza ungeona vituko kama vya mwaka Jana kocha anamwambia mchezaji lala wakufuate na Machela. Au timu inawaambia Msalaba mwekundu mkibeba Machela tumieni dakika 3 kutoka uwanjani Kwa kuchagua kutokea sehemu ndefu zaidi na refa anaona tu hachukui hatua.
 
Binafsi naona ligi kuwa Bora kunategemea mbali ya vigezo vingine Kuwe na waamuzi Bora pia. Ligi haina waamuzi kabisa ni maajabu hawa wasimamizi wa mazoezi tumewapandisha kuwa waamuzi.
Suala la pili ni kama ulivyosema. Timu zinafundishwa kupata matokeo Kwa njia haramu zaidi kuliko halali. Nikupe mfano Mechi ya Jana Coast Vs Azam. Azam walipata goli mapema kipindi cha Kwanza kupitia Feisal, lakini tofauti na timu zilizofundishwa ujinga niliwaona Azam wakienenda kisoka na Hakuna mchezaji wa Azam aliyepoteza Muda Kwa kujidondosha wala kusingizia pumbu zinauma. Lakini wangekuwa wao Coast wanaongoza ungeona vituko kama vya mwaka Jana kocha anamwambia mchezaji lala wakufuate na Machela. Au timu inawaambia Msalaba mwekundu mkibeba Machela tumieni dakika 3 kutoka uwanjani Kwa kuchagua kutokea sehemu ndefu zaidi na refa anaona tu hachukui hatua.
KWELI KABISA MKUU NAKAZIA
 
Hongera sana kaka umeandika Uzi mzuri mno.

Bravo

Kwa mwana Simba au Mdau WA Michezo.

Anaejua maendeleo ya Wachezaji

Enock Inonga.
Aishi Manura na
Aubin kramo

Wanaendeleaje anaweza akatujuza.
 
Hongera sana kaka umeandika Uzi mzuri mno.

Bravo

Kwa mwana Simba au Mdau WA Michezo.

Anaejua maendeleo ya Wachezaji

Enock Inonga.
Aishi Manura na
Aubin kramo

Wanaendeleaje anaweza akatujuza.
Inonga alienda kwao
Aish manura ameanza mazoezi
Huyo kramo Sina taarifa zake.
 
Hii ni ligi ya Tano kwa ubora Africa Kama inavyolipotiwa Lakini ukiangalia timu zinavyocheza unaweza kuzani ni "shaulin soccer.

Kuna muda ukiangalia mpira mpaka unashika moyo unaona kabisa Hawa wanauana.

Mchezo dhidi ya Dodoma jiji na Azam kipindi Cha kwanza ilikua ni hatari sana walichezeana mchezo usipkuwa wa kiungwana mpaka Yaniki bangala alichanika msuli wa paja Kama ilivyoripotiwa na kitengo Cha madaktari wa klab za Azam Fc.

Mchezo wa Tabora United na Dodoma jiji Fc ulikua NI mchezo wenye madhambi mengi sana na Refalii alikua anapotezea tu mpaka unajiuliza huu ni mpira wa ugomvi??

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kushauri makocha katika uwanja wa mazoezi wawafundishe wachezaji namna ya kulinda afya za wachezaji wenzao.

Na ndiyo maana hizi timu zinapokutana na Timu Kama Simba sc au Yanga Sc kwa uchezaji wao lazima zipatikane penati na kadi za njano mpaka nyekundu wachezaji wanakua wanazigharimu timu zao.

Naunga mkono hoja mkuu,

Bora umelisemea hili jambo kuna muda unashidwa kuamin kama ndo huu mpira wanaocheza wenzetu ama sisi ni wetu na unasheria zake.

Inabidi timu zikumbushwe na marefa wafanye maamuzi bila kujali ni timi gani na mchezaji gani analeta karatee judo mchezoni.
 
Kwasasa ni ngumu kuelewa marefa kukosea/ kutochukua hatua stahiki, ni njaa au nikutofahamu vyema kuchezesha soka.
 
Binafsi naona ligi kuwa Bora kunategemea mbali ya vigezo vingine Kuwe na waamuzi Bora pia. Ligi haina waamuzi kabisa ni maajabu hawa wasimamizi wa mazoezi tumewapandisha kuwa waamuzi.
Suala la pili ni kama ulivyosema. Timu zinafundishwa kupata matokeo Kwa njia haramu zaidi kuliko halali. Nikupe mfano Mechi ya Jana Coast Vs Azam. Azam walipata goli mapema kipindi cha Kwanza kupitia Feisal, lakini tofauti na timu zilizofundishwa ujinga niliwaona Azam wakienenda kisoka na Hakuna mchezaji wa Azam aliyepoteza Muda Kwa kujidondosha wala kusingizia pumbu zinauma. Lakini wangekuwa wao Coast wanaongoza ungeona vituko kama vya mwaka Jana kocha anamwambia mchezaji lala wakufuate na Machela. Au timu inawaambia Msalaba mwekundu mkibeba Machela tumieni dakika 3 kutoka uwanjani Kwa kuchagua kutokea sehemu ndefu zaidi na refa anaona tu hachukui hatua.
Naunga mkono hoja,mpira wetu una hatua kubwa za kupitia
 
Binafsi naona ligi kuwa Bora kunategemea mbali ya vigezo vingine Kuwe na waamuzi Bora pia. Ligi haina waamuzi kabisa ni maajabu hawa wasimamizi wa mazoezi tumewapandisha kuwa waamuzi.
Suala la pili ni kama ulivyosema. Timu zinafundishwa kupata matokeo Kwa njia haramu zaidi kuliko halali. Nikupe mfano Mechi ya Jana Coast Vs Azam. Azam walipata goli mapema kipindi cha Kwanza kupitia Feisal, lakini tofauti na timu zilizofundishwa ujinga niliwaona Azam wakienenda kisoka na Hakuna mchezaji wa Azam aliyepoteza Muda Kwa kujidondosha wala kusingizia pumbu zinauma. Lakini wangekuwa wao Coast wanaongoza ungeona vituko kama vya mwaka Jana kocha anamwambia mchezaji lala wakufuate na Machela. Au timu inawaambia Msalaba mwekundu mkibeba Machela tumieni dakika 3 kutoka uwanjani Kwa kuchagua kutokea sehemu ndefu zaidi na refa anaona tu hachukui hatua.
Hii tabia naona imeshakuwa sugu sana tff inabidi wacopy sheria za uefa muda wowote uliopotezwa kizembe utafidiwa kwa dakika zile zile

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kila timu ina mfumo wake wa kupata alama.

Hata Pira vurugu kama linaleta alama 3 muhimu linapigwa tu.

Hawa Azam wanadeka sana na ndo walitutia aibu uarabuni , wakatoa timu kisa rafu
 
Umenikumbusha jinsi red-cross wa ihefu walivyokuwa wanatembea taratibu na mchezaji majeruhi.

Hivi vitimu vidogo vukishinda vinaudhi sana namna vinavyo poteza muda.
Mtibwa Sugar na JKT wanaongoza kwa jupoteza muda wakishinda
 
Umenikumbusha jinsi red-cross wa ihefu walivyokuwa wanatembea taratibu na mchezaji majeruhi.

Hivi vitimu vidogo vukishinda vinaudhi sana namna vinavyo poteza muda.
Mtibwa Sugar na JKT wanaongoza kwa jupoteza muda wakishinda
HATARI SANA.
 
Binafsi naona ligi kuwa Bora kunategemea mbali ya vigezo vingine Kuwe na waamuzi Bora pia. Ligi haina waamuzi kabisa ni maajabu hawa wasimamizi wa mazoezi tumewapandisha kuwa waamuzi.
Suala la pili ni kama ulivyosema. Timu zinafundishwa kupata matokeo Kwa njia haramu zaidi kuliko halali. Nikupe mfano Mechi ya Jana Coast Vs Azam. Azam walipata goli mapema kipindi cha Kwanza kupitia Feisal, lakini tofauti na timu zilizofundishwa ujinga niliwaona Azam wakienenda kisoka na Hakuna mchezaji wa Azam aliyepoteza Muda Kwa kujidondosha wala kusingizia pumbu zinauma. Lakini wangekuwa wao Coast wanaongoza ungeona vituko kama vya mwaka Jana kocha anamwambia mchezaji lala wakufuate na Machela. Au timu inawaambia Msalaba mwekundu mkibeba Machela tumieni dakika 3 kutoka uwanjani Kwa kuchagua kutokea sehemu ndefu zaidi na refa anaona tu hachukui hatua.
Na hiyo ndio kazi ya Karia na TFF. Tulitakiwa kupima Mafanikio yake kuanzia kwenye ubora wa viwanja, ubora wa waamuzi na soka la vijana.


Lakini yeye Yuko busy kuongeza IDADI YA LIGI tu na kujimilikisha Mafanikio ya Simba na Yanga.

Leo mpaka Ngao ya Jamii imekuwa ligi, anataka kuanzisha Tena ligi ya Muungano,hapo bado Super ligi, ligi kuu, na michuano ya CAF.

Hapo wachezaji hawajacheza AFCON na timu za taifa



Unaweza kufikiri wachezaji ni maroboti.


Kazi yote nzito, mchezaji hatakiwi kuingia mkataba binafsi na kampuni mshindani wa mdhamini wa ligi.

Kuna upuuzi mtupu sana TFF
 
Back
Top Bottom