isotaaaa
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,944
- 823
anashinda 9 bilalabda lig bora ni kuangalia real madrid anacheza mech za ushindan sita tu msimu mzima
anashinda 9 bilalabda lig bora ni kuangalia real madrid anacheza mech za ushindan sita tu msimu mzima
ukingalia Barcelona na las Palmas utajua matokeo lazma barca anashinda 8ndio maana nkasema inaweza isiwe bora kwa ubora mnaoutaka ila ina ushindan kwa maana man cty vs everton bado ni mech nzur ya kuangalia kuliko kuangalia barcelona vs las pamas
hata wewe kilaza mkuuEPL hamna kitu labda Africa mashariki tu maana nao pia ni vilaza wa soka afrikan cup imeingia Uganda tu
biashara....nenda.sevilla mwaka jana walikalibia kufuliskaUmemaliza mjadala, hata Ligi yetu bongo ina ushindani mkubwa saana lakini haimaanishi kwamba ni bora.
EPL hamna kitu zaidi ya matangazo tu.
Yaaa kunatofauti kati ya ugumu na ubora. EPL ni ngumu sio boraInawezekana isiwe lig bora kwa maana ya mpira mnaoutaka
Ila Ni lig ambayo ina ushindan mkubwa kuanzia team ya kwanza mpka 20
Mpira duara, anything can happen, natamani EPL na LA LIGA ziwe mixed japo for 3 seasons tuone, sio timu zinakutana UEFA katika miaka 10 mara moja afu unasema timu za huku nzuri kuliko za kule.Haha unachozungumza ni kweli timu kama Atletico inapaki basi lakini hupaki kwa wanaojua tu..
Ilivyokutana na Chelsea "EPL" ,Chelsea walipaki basi na kukandamizwa magoli 3..ndio ujue timu za EPL bado sana zibadilishe style zao
Ligi ya zanzibar ina ushindani? wa nani na nani? Ligi haina mdhamini, timu hazijiwezi, mfumo wa ZFA mbovu, Timu zinanunua madaraja, mwaka mzima unapita hakuna ligi, spectators attendance mbovu, afu unasema ina ushindani? Is it entertaining? HELL TO THE NO!Hata ligi ya Zanzibar ina ushindani kama huo wa Epl lakini sio bora. Sasa kama unapenda ushindani kwa nini usifuatilie pia ligi ya Zanzibar.
Kawaulize man city na guardiola wao kilichowakuta kwa Evertonukingalia Barcelona na las Palmas utajua matokeo lazma barca anashinda 8
Kawaulize man city na guardiola wao kilichowakuta kwa Everton
Yeah hiyo nayo ni kweli maana mpaka kuwa ligi inayotazamwa sana ujue na wenyewe wanaikubali.Epl.ipo nationality sna mkuu.
waingereza wana penda.sna ligi ya kwao kupita mashindano wengne yote ulaya.quote me.
Picha ya chini wangeweka masimba jike.
masimba jike meengiiPicha ya chini wangeweka masimba jike.
kwa hiyo gareth bale na modric wanakaa benchi madrid ?Wachezaji unaowaona ni bora sana uingereza wakienda barca au madrid watakaa bench maisha yao yote.
Kila mchezaji anapambana ainue kiwango pale uingereza akacheze barca au madrid
naona ata suarez,pique,Mascherano wanakaa benchikwa hiyo gareth bale na modric wanakaa benchi madrid ?