Kinachoifanya ligi ya uingereza kuwa inatamba ni uwekezaji mkubwa wa timu hasa kiuchumi yaani timu nyingi uchumi wake hautofautiani sana sasa angalia LA liga au bundersliga ukitoa Dortmund na munchen hakuna timu zenye uimara wa kushindana nazo. Angalia Felix magath alichukua ubingwa na werder Bremen alipoenda Fulham akashindwa kufanya chochote,hata pep ameshindwa kuendana na kasi ya ligi kuu