Tukiondoa muda ni nini kinabaki?

Illusion kwa muktadha gani?

Kila kitu ni illusion, na kama kila kitu illusion, hakuna illusion.

Kwa sababu, ili illusion iwe illusion, inabidi iwe illusion relative to something that is not illusion.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah hili kweli ni jukwaa la intelijensia!
 
Kinachoratibu muda ni mwezi au jua?
Hata vyote. Kitu chochote kinachoweza kuleta intervals za matukio unaweza kutumia kuratibu muda. Watu wa zamani walikuwa wanajaza maji kwenye chombo halafu wanatoboa tundu dogo, intervals za kupungua kwa maji zilitumika kuratibu muda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dah hili kweli ni jukwaa la intelijensia!
Umeelewa hoja yangu mkuu?

Even nothingness is nothingness with relation to something, you can't have nothingness without something.

Even the very concept of nothingness is something apart from nothingness itself.

Just like the concept of you is something different from you.
 
Bado tu hujapewa ulinzi Chifu ?
 
Katika kitu sijaelewa mnazungumzia muda kwa mantiki ipi yaani huu wa saa au tuna zungumzia wakati yaani mchana na usiku

Kama ni muda yaani huu wa saa nitoe mfano chukulia upo gerezani au sehemu yoyote tu ......... simu inaita ngoja nipokee kwanza nakuja
 
natumia simu napata tabu kutaka kuandika maelezo yangu
 
Nakuelewa kwa namna ya uelewa wenyewe
 
"The advantage of having time is so that not all things occurs at the same time"
 
Mwanga husafiri kwa particle iitwayo photon nayo inaweza kupimwa mass yake ndio maana wazungu wanajaribu kuunda space ship yenye spidi ya mwanga.
 
Hebu mkuu nieleweshe ukisafiri wka kasi kwenda wapi? Utashindwa kutofautisha kwa sababu uko speed sana au vipi?

Black hole iko wapi? Kuna mtu amewah kudumbukia huko?

Hizi mambo naonaga kwnye movies za avengers.. hebu nieleweshe tafadhali
Hata mimi nimejiuliza,kwa mfano ukisafiri kwa spidi ya mwanga kwenda adromeda alpha centauri utatumia miaka minne ya mwanga sasa huo sio muda ?
 
hakuna kitu kina itwa future , future ni illusion tu , mambo wakati sahihi ni sasa , ukishasema nitanunua gari tayari umetengeneza illusion kwenye kichwa chako sio reality , ninanunua gari ndio jambo la kwel fture nikuudanganya ubongo wako tu .
Kwahiyo rais ajaye baada ya samia tayari anatawala au atakuja kutawala baade baada ya samia
 
nu sawa kabsa una vyozungumza ila future ina baki kuwa jambo ambalo sio reality ni dhana tu
Ni dhana lakini baade itafika itakua reality kama unavyosubiri kifo chako
 
Kwahiyo muda utakuwepo ila tu itakua ngumu kuucalculate
 
Hata mimi nimejiuliza,kwa mfano ukisafiri kwa spidi ya mwanga kwenda adromeda alpha centauri utatumia miaka minne ya mwanga sasa huo sio muda ?
Hapo muda utakuwa umefreeze kwa hiyo speed mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…