Jackpiano
JF-Expert Member
- Apr 19, 2025
- 534
- 660
Eeh bwn uku kila mtu ana ndingaJF members wote wana magari yao binafsi mkuu, ilikuwaje leo ukaacha gari home na kubananishwa kwenye daladala.
Eeh bwn uku kila mtu ana ndingaJF members wote wana magari yao binafsi mkuu, ilikuwaje leo ukaacha gari home na kubananishwa kwenye daladala.
Nilikuja kumsimulia ndugu mmoja tunaelingana umri baadae sana. Sasa hivi hapa namkumbuka dada Eliza. Alikuwa mpole sana.Duh noma sana
Uliwapa story wanandugu au uliogopa?
Kwaiyo kwakuwa hakupima tuseme hakuwa na marelia? Maana angekuwa nayo angesema humu kuwa baada ya hapo aliumwa sanaKipindi hicho ungewahi kupima Malaria.
Uliona GhostZamani nikiwa form 2 au 1 kuna cousin sister wangu alifariki. Alinizi umri na alikuwa ameolewa. Tulikuwa tunaishi eneo moja ila tunashukia vituo tofauti vya bus la mzunguko.
Siku hio natoka shule kufika kituo ambacho huyo sister alikuwa anakaa nikamwona anashuka na akanisalimia.( Hapo ni kama miezi 6 tangu afariki). Basi nikaendelea na safari yangu. Nilikuja kushtuka baada ya siku tatu kupita kuwa yule niliemuona mbona alishafariki zamani? Hadi leo sisahau na sina jibu.
Tafuta zile Mazda XR zinazopaa kwenye foleni mkuuNililiacha foleni
Majini wanaweza kuchukua umbile/sura ya mwanadamu, mnyama na hata wadudu.Zamani nikiwa form 2 au 1 kuna cousin sister wangu alifariki. Alinizi umri na alikuwa ameolewa. Tulikuwa tunaishi eneo moja ila tunashukia vituo tofauti vya bus la mzunguko.
Siku hio natoka shule kufika kituo ambacho huyo sister alikuwa anakaa nikamwona anashuka na akanisalimia.( Hapo ni kama miezi 6 tangu afariki). Basi nikaendelea na safari yangu. Nilikuja kushtuka baada ya siku tatu kupita kuwa yule niliemuona mbona alishafariki zamani? Hadi leo sisahau na sina jibu.