Tukio lililo mtoa machozi

Tukio lililo mtoa machozi

kuna mengi ya kujifunza katika hili bandiko lako lakini ni kweli umefika ngazi ya elimu ya juu?
 
Pole sana,,huu uandishi sasa.''.!unatia uvivu sana,na kuudhi pia
 
Umesoma UDSM ile ile inayosifiwa na Baba BASHITE kiasi cha kuona vyuo vingine ni takataka!?
 
Una digrii gani iyo kama h,a na I unazichanganya matumiz yake???!!
 
Nimejitahidi nimesoma yote ila kwa mbinde sio kwa mwandiko huo aisee au ndo Telecomunication mnaandika hivyo mkuu.

Ukiambiwa unaandika vibaya jirekebisha usiwe mbishi hapo juu nimeona unawaambia wadau ni wagumu kuelewa.

Mwandiko bashite si bashite bata si bata dah mpaka umeondoa mzuka wa story ingawa ni bonge la dude.
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Hata uwe na Phd kama mwandiko wako ni mbovu kiasi hiki sawa na bure, halafu unaporekebishwa kubali bwana! acha ubishi....mwandiko kama upo vidudu
 
Najuwa mnabeza mwandiko na kupelekea kuhoji elimu yangu nimesoma na ninafanya kazi ya kitu nilichokisomea pia mambo niliyoyasomea hayahusiani na mwandiko ndio maana nilijigundua kuwa cko vzr ktk kujieleza lakn cha mcng ujumbe mmeuwelewa
 
Before you love anyone, love your self first!

Yan unampenda mtu alaf kila siku unalia, are you dating a human or an onion?

By the way, huu uandish ulikusudia au ndo stress?
..kwenye A anaweka H
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom