Tukio la ujambazi Bugarika-Mwanza

lopinavir

Senior Member
Jul 11, 2015
187
121
Muda wa saa mbili kamili usiku(25/3/2016),Majambazi yamevamia duka na kuiba pesa ambazo hazijafahamika ni kiasi gani,wameua dereva boda boda mmoja na majeruhi watatu wamekimbizwa hospitali ya bugando....
-Polisi wamefika baada ya dakika 20 na kukuta majambazi yameshaondoka...
-Zimepigwa risasi kadhaa hewani
-IGP tunakuomba pambana na hawa watu maana wamezidi .....!
 
polisi wapo bize wanawasubiri waleta fyofyoko ilihali upande mwingine majambawazi yanatawala...poleni wote kwa tukio la kuvamiwa na mauaji.
 
Ni vigumu kuchukua picha za waliokufa na za majeruhi na kuziupload.....!!!
 
Mchana tunawaita polisi,wanatulinda sisi na mali zetu. Ila usiku wanakuja kuzichukua huku wakijibadili jina na kujiita majambazi.

Mchana silaha zinahifadhiwa vizuri na hutumika kwa manufaa ya Taifa,ila giza likiingia zinakodishwa kwa watu na kutumika kwa maslahi binafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom