Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA