mboamboa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 237
- 156
Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba kuna tukio la ujambazi limefanyika Ubungo Mataa muda huu na inasemekana kuwa majambazi hayo yalikuwa na Pikipiki Boxer wakavamia gari aina ya Landcruiser wakalipiga risasi ambayo ilimjeruhi mhusika kisha kufungua mlango wa hiyo gari na wakachukua begi na kutimka nalo kwa kutumia pikipiki kupitia njia ya Ubungo Maziwa,habari hizo zinasema kuwa mpaka muda huu aliyeporwa anasaidiwa na wasamaria wema huku akibubujikwa na damu ili hali traffic Polisi wako kwenye mataa wakiongoza magari