Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 780
- 1,831
Kumekuwepo na video zinasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania zikionyesha magari yakisombwa na maji katika mto.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo wametoa maoni wakidai kuwa tukio hilo limetokea katika Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Ashatu Kijaji, ametembelea maeneo yaliyo athiriwa na mvua zinazo endelea kunyesha, katika baadhi ya maeneo ya hifadhini ya Serengeti na kujionea athari zilizo tokana na mvua hizo.
Waziri kijaji amesema tayari Serikali imetenga zaidi ya Bilioni 8 kwa ajili ya maboresho ya miundombinu na kusisitiza Waongoza watalii kuwa wazalendo kwa ajili ya Taifa.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo wametoa maoni wakidai kuwa tukio hilo limetokea katika Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Ashatu Kijaji, ametembelea maeneo yaliyo athiriwa na mvua zinazo endelea kunyesha, katika baadhi ya maeneo ya hifadhini ya Serengeti na kujionea athari zilizo tokana na mvua hizo.
Waziri kijaji amesema tayari Serikali imetenga zaidi ya Bilioni 8 kwa ajili ya maboresho ya miundombinu na kusisitiza Waongoza watalii kuwa wazalendo kwa ajili ya Taifa.