Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Nikanunua ardhi huko Kijijini Kazi Mzumbwi na sasa ni mkulima wa mbogamboga na Matunda, pia nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji
ulikosea kidogo uvuvi haramu unalipa sana hasa wa nyavu zenye matundu madogo sana au net za malaria haikubaliki.