Mkuu kuwa neutral tu kama mimi.Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Hapo mko nyuma yao apasome kwa makini😂😂😂😂😂😂Chadema wako walikokuwa wanataka kufika so no need to blame them. Wako kwenye kilele cha buyu la asali 😂😂😂!!!
Ni muda wako wewe na wenzio mnaaona hali sio nzuri upande wenu muingie mstari wa mbele kupinga udhalimu na kupaza sauti. Tuko nyuma yenu mkuu
Apasome kwa heRUFi kubwaHapo mko nyuma yao apasome kwa makini😂😂😂😂😂😂
TUWE BEGA KWA BEGA, SIYO NYUMA TUNAOUMIA NI WOTE NA SERIKALI HII!Chadema wako walikokuwa wanataka kufika so no need to blame them. Wako kwenye kilele cha buyu la asali 😂😂😂!!!
Ni muda wako wewe na wenzio mnaaona hali sio nzuri upande wenu muingie mstari wa mbele kupinga udhalimu na kupaza sauti. Tuko nyuma yenu mkuu
SIDHANI, SIDHANI SIDHANI... NADHANI WANATOA NAFASI KWA HAYA MAJADILIANO... i THINK SO!Chadema wanalambishwa asali
Hakika Kauli ya Mbowe itatikisa Dunia , Vuta Subra .Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Mtetezi yupo jikoni anapika jambo la watanzania wote.Kitu katiba mpya ya kutoka maoni ya Mzee Warioba🤔Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Je nyie wanakijani mnalamba nini🤔 Chumvi au🙂Wanalamba asali
Nadhani wamefika mahali wakaona wanao wapigania nao hawana uelekeo.Chadema wako walikokuwa wanataka kufika so no need to blame them. Wako kwenye kilele cha buyu la asali
Ni muda wako wewe na wenzio mnaaona hali sio nzuri upande wenu muingie mstari wa mbele kupinga udhalimu na kupaza sauti. Tuko nyuma yenu mkuu.